Kumnyang'anya mama mtoto wake ni UNACCEPTABLE!Labda kama anamnyanyasa na hamjali...zaidi ya hapo hairuhusiwi kwenye kitabu changu!
Aksante Lizzy hata hivyoninamshukuru Mungu na pia ninamshukuru huyo Ex- wangu alipata akili baada ya mimi kumpigia simu baba mkwe na kumweleza kuwa usiku huo mwanae atalala ndani ...akaongea naye bahati nzuri he was wise enough kunsikiza baba yake after half an hour akanirudishia darling wangu.................na tray ya mayai .....ilinibidi tu nicheke.
Acha bana nusu saa lakini it was like a week I see. Mimi siujui uchungu wa kuzaa kwani sikubahatika kuusikia kipindi kile ila siku ile nahisi vile nlivyokuwa nasikia ilikuwa ni uchungu....ahaaaaaaaaaa hapana bana Lizzy.
Hilo deal lao mpaka nijue pande zote zilikubaliana nini maana bwana dunia ya leo duuuh
Aksante Lizzy hata hivyoninamshukuru Mungu na pia ninamshukuru huyo Ex- wangu alipata akili baada ya mimi kumpigia simu baba mkwe na kumweleza kuwa usiku huo mwanae atalala ndani ...akaongea naye bahati nzuri he was wise enough kunsikiza baba yake after half an hour akanirudishia darling wangu.................na tray ya mayai .....ilinibidi tu nicheke.
Acha bana nusu saa lakini it was like a week I see. Mimi siujui uchungu wa kuzaa kwani sikubahatika kuusikia kipindi kile ila siku ile nahisi vile nlivyokuwa nasikia ilikuwa ni uchungu....ahaaaaaaaaaa hapana bana Lizzy.
Ulishawahi kucheza karate kidogo? Mbona unatishia maisha ya watu
mj1,u made me ....
Plus viboko vilivyokwenda shule,.i can picture hz face kama ya kangaroo vile!
tracy darl............yasikie tu kwa mwenzako.
Ha ha ha, kangaroo huyu. Kamata tupa kuleeee!!
Duuh nilikuwa napima presha...wanawake wote wangekuwa hivyo tungezaa sana na kuijaza Dunia. Tatizo wengine hata hujawazalisha wanakuja kukubwagia watoto. Eeeh nani anataka presha
Yani you can make him walk by his hands!..ila some Men!hata shetani anaeza kuwaita shemeji!GOD HAVE MERCY!
Duuh nilikuwa napima presha...wanawake wote wangekuwa hivyo tungezaa sana na kuijaza Dunia. Tatizo wengine hata hujawazalisha wanakuja kukubwagia watoto. Eeeh nani anataka presha
Kabisaaaa, Mungu turehemu tu kw kweli, kwa sababu hapa bila neema ya Mungu kukushika haswaa, na utulivu wa kimiujiza ya Mungu moyoni. Hapa unaua tu halafu mengine yatafuata baadae.
Yaani tangu nimeingia hapa inaonyesha wachangia mada wote wanasumu ndani ya mioyo yao kwa wanaume je umejiuliza kua kesho yakikupata utafanyeje?je huyo ulie nae amekuoa au ndo vle mwisho wa cku anakuja kumwiba handsome/beautiful wako?ooh sory kweli akiwa ke hana shida nae c ndio.
Nawasilisha hoja.
Yaani tangu nimeingia hapa inaonyesha wachangia mada wote wanasumu ndani ya mioyo yao kwa wanaume je umejiuliza kua kesho yakikupata utafanyeje?je huyo ulie nae amekuoa au ndo vle mwisho wa cku anakuja kumwiba handsome/beautiful wako?ooh sory kweli akiwa ke hana shida nae c ndio.
Nawasilisha hoja.
kweli kabisa,kama Mungu asipokupa moyo wa kujinyenyekeza,unaeza kufia jail..Sometimes i wonder why they prefer a certain sex at the end,watoto wanakua and kila mmoja anakua na maisha yake,hutakumbuka alikua cjui wa kike o kiume,mtoto ni mtoto..
Kiukweli hapa mimi,wewe na yule ha2wezi kujua makubaliano ya hawa w2.wote ni wazazi iliwapasa wakae chni wajadili jinsi ya kumlea mtoto 7bu ya kumuiba cjaiona kwani mtoto ni wako 2 hata kma atalelewa na mama.But mama nae why acngemsubli sehemu nyingne amfate ofcn?Upande wangu wote wajinga kuku wako mwenyewe manati ya nini?Naomba kama unaweza nijibu hili swali kwa kuwawakilisha wanaume. Kwa nini mnaiba watoto, tena mdogo kama huyo.
Kiukweli hapa mimi,wewe na yule ha2wezi kujua makubaliano ya hawa w2.wote ni wazazi iliwapasa wakae chni wajadili jinsi ya kumlea mtoto 7bu ya kumuiba cjaiona kwani mtoto ni wako 2 hata kma atalelewa na mama.But mama nae why acngemsubli sehemu nyingne amfate ofcn?Upande wangu wote wajinga kuku wako mwenyewe manati ya nini?