Busara ndo kila ki2.ss ona mpaka wametoana ngeu wakati ilikua ni ktendo cha kuelewana wkt mwingne wanawake wanadhani mtoto akilelewa na mama mwngne anateswa.Ujinga, hasira, chuki, ghadhabu nk nk, lakini wanaume si vichwa ktk maswala kama haya tunategemea msaada wa kiakili kutoka kwenu, sasa ukileta mambo ya kijinga kama huyu unadhani moyo wa kuvumilia utakuepo kweli??
Busara ndo kila ki2.ss ona mpaka wametoana ngeu wakati ilikua ni ktendo cha kuelewana wkt mwingne wanawake wanadhani mtoto akilelewa na mama mwngne anateswa.Ujinga, hasira, chuki, ghadhabu nk nk, lakini wanaume si vichwa ktk maswala kama haya tunategemea msaada wa kiakili kutoka kwenu, sasa ukileta mambo ya kijinga kama huyu unadhani moyo wa kuvumilia utakuepo kweli??
Busara ndo kila ki2.ss ona mpaka wametoana ngeu wakati ilikua ni ktendo cha kuelewana wkt mwingne wanawake wanadhani mtoto akilelewa na mama mwngne anateswa.
Busara ndo kila ki2.ss ona mpaka wametoana ngeu wakati ilikua ni ktendo cha kuelewana wkt mwingne wanawake wanadhani mtoto akilelewa na mama mwngne anateswa.
Kokudo, haiingii akilini hata kidogo, mtoto nikubali kumzaa mwenyewe halafu akalelewe na mama mwingine wakati mimi nipo hai na ninaweza kumlea.
It depends LD......kuna wanawake wangine hawana uwezo wa kuwa mama.....
Katika kesi hii nadhani huyu jamaa alimtumia tu huyo dada kupata akipendacho....and he used a very wrong approach...
BTW: Hivi watu wa ustawi wa jamii bado wanapatikana?
hapo hakuna cha ustawi wa jamii wala wa jamaa mwenyewe namtosha wala sihitaji msaada kutoka chombo chochote cha sheria, huko labda aende yeye
Mi ningemng'ata hadi ninyofoke na something kwanza,.afu sheria ichukue mkondo wake..yani mimba ulee mwenyewe then aje tu,jambaz kweli!alidhani mwanamke ni kama kuku?anatotoa tu..
Orait...orait....basi sitakunyang'anya....:A S 39:
Kiukweli hapa mimi,wewe na yule ha2wezi kujua makubaliano ya hawa w2.wote ni wazazi iliwapasa wakae chni wajadili jinsi ya kumlea mtoto 7bu ya kumuiba cjaiona kwani mtoto ni wako 2 hata kma atalelewa na mama.But mama nae why acngemsubli sehemu nyingne amfate ofcn?Upande wangu wote wajinga kuku wako mwenyewe manati ya nini?
huyu Dr. ni mwenda wazimu.....kwani anafikiri Mama atakaa na mtoto hadi lini?? Ningekuwa mimi wala sijui ningefanyaje pamoja na kuwa sheria na haki zote nilikuwa ninazifahamu fika (inauma jamani asikwambie mtu) Nakumbuka kuna siku junior wangu alikuja chukuliwa .............tena mbele yangu si in my absence...nilichanganyikiwaje...hata hizo sheria sikuzikumbuka) acheni kabisa bana........... yaani mara kumi na ngapi sijui achukuliwe akiwa ashakuwa na akili yake lakini mwaka mmoja na kitu ...........acha kabisa
mimi nakumbuka T-shirt niliivalia chini kwenye ngazi....hapo ni saa nne usiku hata sijui nlikuwa naelekea wapi, ah acha kabisa bwana.
Busara ndo kila ki2.ss ona mpaka wametoana ngeu wakati ilikua ni ktendo cha kuelewana wkt mwingne wanawake wanadhani mtoto akilelewa na mama mwngne anateswa.
LD give a break kwanza hivi unafikiri ww km mzazi ukishindwa kulea mwanao mwanamke mwingine ataweza???????? hapo napinga kabisa........
Jamani LD,LIZZY,MATY angalie bwana mi nadhni huyu jamaa alimpata huyu dada kule kwenye 1000 au 1500 na km ujuavyo wbongo kondom kwe2 mwiko wakajkuta wamepata goli bila kutegemea ss coz yle mdada duu ile ndo kaz yake mtoto anakua hapati malez bora ndo maana dr akaona amchakachue.naungana na ST. RR sio wote waliozaa wanajua kulea wengi 2mewaona wakishazaa watoto wanapelekwa kwa nyanya zao kijijini wao wanaludi kutafuta mimba nyingne mtoa hoja angepata nafac ya kumuuliza yule dada anajishughulisha na nini?tatizo wanawake wa Dar kiswahli kireeeeefu.mm cmooo
Na nyie muachage kuzaa kama mbuzi. Hebu muolewe muzae na waume zenu muone kama kuna atakayewasumbua. Mnayatafuta wenyewe haya matatizo.
Mmmmm, pole yake huyu dada, jamani mtoto wa mwaka mmoja na miezi mitatu huyu baba anampeleka wapi?? Anyway hebu ngoja nisubiri maoni ya watu wengine kwanza.
Manake kama neema ya Mungu haijakushika, unaweza ukajikuta unaua mwanaume wa style hii kabisaa.
Yan huyo dada alikosea kidogo angelenga kile kisu kwenye kifanyio cha huyo dr ili akidondoshe kabisaa! aone kama angetamka mameno ya kashfa kiasi hicho! eti nilikua na shida na mtoto!!!!!!! Pambafu kabisa huyo dr