The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Umenikumbusha shinyangaBalimi 10 aisee hapo nilazima nicheze na nasahau kabisa kiswahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha shinyangaBalimi 10 aisee hapo nilazima nicheze na nasahau kabisa kiswahili.
Safari hujafafanua kuna Kubwa na kuna Ndogo 6 zipi? Ukinywa Kubwa 6 ni sawa umekunywa ndogo 12, sasa wewe hizo 6 zipi mkuu?Kilimanjaro 2 [emoji1787][emoji1787] daah..
mi nakunywa safari hata 6 na sisimami nmechill tu
Karibu karibu 😄Naomba nikuoe plz
Kubwa.. Sina kichwa panzi kabisa.Safari hujafafanua kuna Kubwa na kuna Ndogo 6 zipi? Ukinywa Kubwa 6 ni sawa umekunywa ndogo 12, sasa wewe hizo 6 zipi mkuu?
Mimi hua nagida Safari Kubwa 5 kwa speed ya Jet alafu nashushia na ubalozi saafi kabisa, usiniige!
Mkuu, namaanisha sisi tunao kunywa pombe na sio bia..😋nyie msio kunywa beer subiri uzi wenu wa kunywa chai... infact chai zipo zakutosha humu.
Kwenye uzi wa Juice ya MaparachichiAmbao hatukunywi beer tuna komenti wapi...[emoji848]
Namaanisha sisi wanywa pombe mkuuKwenye uzi wa Juice ya Maparachichi
Kuna pombe na pombe kaliNamaanisha sisi wanywa pombe mkuu
Windhoek 10 hvAisee hapa jamaa wamenikamata wamenituliza,ishu inakujaga nikishakunywa Kilimanjaro mbili tu naanza kwenda na beat ya mziki,mara na simama[emoji4]je we unachezaga unapokuwa baa ukishastua?
kumbe nyie wa pombee... mkuu nyie thread kama mnapita kiboss huku mnatabasamuMkuu, namaanisha sisi tunao kunywa pombe na sio bia..😋
Ubaya wake...🤔Pombe mbaya
Yeeeeeeee karibu mkuu lingusenguse, Leo nimekunywa mno ulanzi yaani hapa nimo ndani ya JF bcs ya addiction yangu, mbeta zote nimeonja ,ni special day kwanguSinywi beer, nakunywa ulanzi, ko nikinywa dumla 1 oooooh ntakua dancer hapooo had nakuwa hoiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha vitindi mkuu[emoji2][emoji2]Yeeeeeeee karibu mkuu lingusenguse, Leo nimekunywa mno ulanzi yaani hapa nimo ndani ya JF bcs ya addiction yangu, mbeta zote nimeonja ,ni special day kwangu
Jukwaa la afyaAmbao hatukunywi beer tuna komenti wapi...[emoji848]