Ukioa mke mkirsto mkatoliki una asilimia nyingi za kuwa na familia yenye furaha na mafanikio

Ukioa mke mkirsto mkatoliki una asilimia nyingi za kuwa na familia yenye furaha na mafanikio

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Kupitia mifano mingi hawa wanawake wa kikatoliki ni bora sana kujenga familia sio Tanzania tu hata duniani.

Mzee wangu ni muislamu alioa mke mkatoliki.

Mama alikataa kwenda kwenye uislam akabaki na ukristo wake lkn familia ilikuwa na amani na furaha sana.

Tulipokuwa primary hatimae mzee wetu naye akaenda kanisani mpaka sasa ni mkatoliki.

Sijawahi kusikia hata siku moja wakigombana wakati tunakua.

Mama hakosi jumuiya, hakosi kanisani, hakosi tukio lolote la kijamii kanisani.

Nimejaribu kuwaza nje ya familia, familia nyingi za kikatoliki zimenyooka sana sio Tanzania hata duniani.

Wanawake wakikatoliki kwanza hawayumbishwi kiimani.

Sisemi 100% kwamba wakatoliki wote lakini namba kubwa inawasapoti.
 
Nahisi ni waenzi hizo ila kizazi hiki ni asilimia ndogo sana na hii sio kwa wakatoliki tu ata waislam, wapagan na wakristo wengne wa zaman walikuwa wapo vizuri.
Na hii yote nikutokana na kuwa na hofu kuvunja ndoa na malezi ya watoto nje ya ndoa na hii inatokana na Iman waliojengewa na wakubwa zao kuwa heshima ya mwanamke ipo ndani ya ndoa na walijua nafasi zao ndani ya ndoa zao.
 
Kupitia mifano mingi hawa wanawake wa kikatoliki ni bora sana kujenga familia sio Tanzania tu hata duniani.

Mzee wangu ni muislamu alioa mke mkatoliki.

Mama alikataa kwenda kwenye uislam akabaki na ukristo wake lkn familia ilikuwa na amani na furaha sana.

Tulipokuwa primary hatimae mzee wetu naye akaenda kanisani mpaka sasa ni mkatoliki.

Sijawahi kusikia hata siku moja wakigombana wakati tunakua.

Mama hakosi jumuiya, hakosi kanisani, hakosi tukio lolote la kijamii kanisani.

Nimejaribu kuwaza nje ya familia, familia nyingi za kikatoliki zimenyooka sana sio Tanzania hata duniani.

Wanawake wakikatholik kwanza hawayumbishwi kiimani.

Sisemi 100% kwamba wakatoliki wote lkn namba kubwa inawasapoti.
kwaiyo unataka kusema familia zetu zilizoko saudi arabia norway iran iraq quatar huko uyahud na zanzbar hazina furah ila familia zenye furah n za mapadre na masista tu daaah🤕🤕🤕🤕🤕🤕🤕
 
Kupitia mifano mingi hawa wanawake wa kikatoliki ni bora sana kujenga familia sio Tanzania tu hata duniani.

Mzee wangu ni muislamu alioa mke mkatoliki.

Mama alikataa kwenda kwenye uislam akabaki na ukristo wake lkn familia ilikuwa na amani na furaha sana.

Tulipokuwa primary hatimae mzee wetu naye akaenda kanisani mpaka sasa ni mkatoliki.

Sijawahi kusikia hata siku moja wakigombana wakati tunakua.

Mama hakosi jumuiya, hakosi kanisani, hakosi tukio lolote la kijamii kanisani.

Nimejaribu kuwaza nje ya familia, familia nyingi za kikatoliki zimenyooka sana sio Tanzania hata duniani.

Wanawake wakikatholik kwanza hawayumbishwi kiimani.

Sisemi 100% kwamba wakatoliki wote lkn namba kubwa inawasapoti.
Dini zote za kigeni ndiyo ukoloni na utumwa wenyewe.
Badilikeni wapendwa. Utamaduni wetu ndiyobuliotengeneza wake materials na siyo haya mambo ya kipuuzi kutoka kwa Mzungu.
 
Kupitia mifano mingi hawa wanawake wa kikatoliki ni bora sana kujenga familia sio Tanzania tu hata duniani.

Mzee wangu ni muislamu alioa mke mkatoliki.

Mama alikataa kwenda kwenye uislam akabaki na ukristo wake lkn familia ilikuwa na amani na furaha sana.

Tulipokuwa primary hatimae mzee wetu naye akaenda kanisani mpaka sasa ni mkatoliki.

Sijawahi kusikia hata siku moja wakigombana wakati tunakua.

Mama hakosi jumuiya, hakosi kanisani, hakosi tukio lolote la kijamii kanisani.

Nimejaribu kuwaza nje ya familia, familia nyingi za kikatoliki zimenyooka sana sio Tanzania hata duniani.

Wanawake wakikatholik kwanza hawayumbishwi kiimani.

Sisemi 100% kwamba wakatoliki wote lkn namba kubwa inawasapoti.
Nataka nikuoe mkuu ili familia yangu iwe na amani uzae watoto wengi wachangamfu
 
Back
Top Bottom