vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Kupitia mifano mingi hawa wanawake wa kikatoliki ni bora sana kujenga familia sio Tanzania tu hata duniani.
Mzee wangu ni muislamu alioa mke mkatoliki.
Mama alikataa kwenda kwenye uislam akabaki na ukristo wake lkn familia ilikuwa na amani na furaha sana.
Tulipokuwa primary hatimae mzee wetu naye akaenda kanisani mpaka sasa ni mkatoliki.
Sijawahi kusikia hata siku moja wakigombana wakati tunakua.
Mama hakosi jumuiya, hakosi kanisani, hakosi tukio lolote la kijamii kanisani.
Nimejaribu kuwaza nje ya familia, familia nyingi za kikatoliki zimenyooka sana sio Tanzania hata duniani.
Wanawake wakikatoliki kwanza hawayumbishwi kiimani.
Sisemi 100% kwamba wakatoliki wote lakini namba kubwa inawasapoti.
Mzee wangu ni muislamu alioa mke mkatoliki.
Mama alikataa kwenda kwenye uislam akabaki na ukristo wake lkn familia ilikuwa na amani na furaha sana.
Tulipokuwa primary hatimae mzee wetu naye akaenda kanisani mpaka sasa ni mkatoliki.
Sijawahi kusikia hata siku moja wakigombana wakati tunakua.
Mama hakosi jumuiya, hakosi kanisani, hakosi tukio lolote la kijamii kanisani.
Nimejaribu kuwaza nje ya familia, familia nyingi za kikatoliki zimenyooka sana sio Tanzania hata duniani.
Wanawake wakikatoliki kwanza hawayumbishwi kiimani.
Sisemi 100% kwamba wakatoliki wote lakini namba kubwa inawasapoti.