zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,529
- 1,068
Wanajamvi!
Leo nimelala zangu magetoni mara nasikia mbususu inajiongelesha karibu na dirishani kwangu, tena sauti ya pili iko juu kiasi, nasikia anayoongea side B.
Sasa kituko nikasikia mbususu inaomba Iphone X daaah, nikafungua pazia. Mtu mwenyewe ndiyo kwanza anakiswaswadu na hafananii hata na hizo mambo.
Nikacheka kinoma, nikafunga zangu pazia nikaendeleza kuuchapa.
Leo nimelala zangu magetoni mara nasikia mbususu inajiongelesha karibu na dirishani kwangu, tena sauti ya pili iko juu kiasi, nasikia anayoongea side B.
Sasa kituko nikasikia mbususu inaomba Iphone X daaah, nikafungua pazia. Mtu mwenyewe ndiyo kwanza anakiswaswadu na hafananii hata na hizo mambo.
Nikacheka kinoma, nikafunga zangu pazia nikaendeleza kuuchapa.