Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Iyo esabu umepewa na kahaba na sio mwanamke wanaume 50 au 100 anawamiliki vp labda km ni kahaba sawa ila mwanamke tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you were raised this good then you should have respect to all men regardless their financial status!I was raised by a Single Dad too and God Bless him for that.
My father taught me to appreciate the woman I see in the mirror and that the value of a woman is as high as she chooses to uphold her dignity.
Ukiamua thamani yako ni ya kuchezewa thats who you will end up being, umeshachagua fungu lako.
Ile closeness na Baba, na kutundisha A,B, Cs za how a man thinks zilitusaidia sana. Alitufundisha a man can go to such extremes kukupata sasa usipokuwa na akili ya ziada you will fail.
Pia alitufundisha kujitegemea, kutosubiri kupewa, alitufundisha a very humble life. We went to ordinary schools na hapo nilikiwaga sielewi zamani why imekuwa hivyo. Holidays zetu tulikuwa tunaenda childrens homes kuspend na the less fortunate.
Sasa katika malezi yako na binti yako wewe mhudumie ila mfundishe pia kuna kukosa ili akija kuishi maisha tofauti na unayompa ata survive bila kujishusha thamani yake.
And always, always mfundishe she will always be your little girl and always welcome at home.
Uone kama kuna kidume kitamburuza kisa vijisenti.
Nakuomba kila siku unifundishe kingreza unagoma😂😂Do your best and let God do the rest.
She will be just fine.
Kati ya hamsini utakuta waliokula mzigo ni 20 ila 30 waliobakia unakuta ni wale ambao wanamshobokea manzi. So ila kuwanyoosha unakuta anawaomba 10k, 20k au 30k. Kama ujuavyo ukiwa unamuelewa manzi lazima utatoa tu ukiwa na matarajio kuwa ipo siku atakupa mzigo kumbe mwenzako yupo kazini anatafuta pesa wewe unataka mapenzi.Wanaume 50 duh.wote hao anaishi naye vipi?
unaongelea malaya mzee hamna mwanamke wa kawaida akawa na wanaume 20 wote wanamgonga hayupo asee, watu 20 wote wanakugonga kwa wakati tofauti si balaa hiyo hahaha ukisema watatu au 5 sawa.Kati ya hamsini utakuta waliokula mzigo ni 20 ila 30 waliobakia unakuta ni wale ambao wanamshobokea manzi. So ila kuwanyoosha unakuta anawaomba 10k, 20k au 30k. Kama ujuavyo ukiwa unamuelewa manzi lazima utatoa tu ukiwa na matarajio kuwa ipo siku atakupa mzigo kumbe mwenzako yupo kazini anatafuta pesa wewe unataka mapenzi.
Kuna mwanamke mmoja alikuwa kule Kigamboni sehemu moja inaitwa ungindoni. Huyo mwanamke alikuwa na grocery ya kuuza pombe. Kiukweli alikuwa na wanaume wengi sana. Na kila mwanaume alikuwa analipa hela ya pango anapokaa na pale anapofanyia kazi( kwenye grocery yake).
Kati ya hao wanaume wote waliokuwa wanalipa kodi ya nyumbani na sehemu ya biashara hakuna ambaye aliweza kufika kwa huyo mwanamke.
Kadhalika, wanaume hao wakati mwingine walikuwa wanakutana pale kwenye grocery yake na kujikuta wote wamelipia kinywaji alichokunywa yeye.
Huo msamiati wa mtu wangu umekufagaAsante kwa kunielewesha Boo.
Kwa maana hiyo hawezi kusema ana mtu wake sio?
Mstari huo ni kujipanga au kutojipanga barabaraniKuna mstari mwembamba Sana unaowatenganisha mabinti wa nyakati hizi na uchangudoa......
Karucee hauna young sister. I would like my kids to have some mtDNA passed on to them from your line.Unapigwa kwa upumbavu wako.
Find a girl, settle down and get married to her.
Spend all you wish on her, she is yours for crying out loud.
When you can't raise a sound argument you resort to such words as bitterness 🙄🙄.If you were raised this good then you should have respect to all men regardless their financial status!
There was a place nimeona umetumia harsh language and statements portraying that you have no respect to men! Haipendezi don’t be bitter namna ile.
I aint dictating but you just gotta have senses! Just a reminder, when your calm in every situation then thats when you can always make rational judgements miss Gladys!When you can't raise a sound argument you resort to such words as bitterness 🙄🙄.
My upbringing does not make me take a beating lying down. Therefore you cannot dictate to me how to behave around people who cannot agree to disagree.
I have enough sense Mr, Thank You.I aint dictating but you just gotta have senses! Just a reminder, when your calm in every situation then thats when you can always make rational judgements miss Gladys!
Ur welcomeI have enough sense Mr, Thank You.
A very thin line, aloooKuna mstari mwembamba Sana unaowatenganisha mabinti wa nyakati hizi na uchangudoa......
Wew hujaelewa,kati ya wanaume 100 alionao ni mmoja au wawili,wengine 98 ni wale wanaomtongoza ila hajawakubalia,hivyo sasa kama mwanamke huyo ni kisu wanaume wengi watamtaka na hakatai kutoa namba ya simunaongelea malaya mzee hamna mwanamke wa kawaida akawa na wanaume 20 wote wanamgonga hayupo asee, watu 20 wote wanakugonga kwa wakati tofauti si balaa hiyo hahaha ukisema watatu au 5 sawa.
Case closed[emoji119][emoji119][emoji119]Ni maisha ya kawaida tu hayo,na yanachangamsha sana damu na mishipa ya fahamu, wewe kama hujawahi ombwa au huombwi jua una kasoro kwenye hii Dunia ya Mnyazi Mungu
Hahahahahah I believe you kwa kweli.[emoji28][emoji28][emoji28]we ndo bae namba 1 yaani one & only
Sijambo, nimekumiss aisee,