Ukiona chama tawala hakitaki kukosolewa na wanachama wake kwa makosa kinayofanya basi anguko lake lipo karibu

Ukiona chama tawala hakitaki kukosolewa na wanachama wake kwa makosa kinayofanya basi anguko lake lipo karibu

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kunaguka kwa chama tawala ni pamoja na kupoteza imani kwa wananchi.

Wananchi ndio huwa wanapima na kuona mwenendo wa chama walichokiweka madarakani.

Kwa jinsi taifa letu na wananchi walivyo masikini wanapokosa msaada wa chama tawala ili kuwalinda dhidi mafisadi na wakora wa malk ya umma basi hii ni dalili mbaya kwa chaa tawala.

Wananchi wanataka kuona pesa za umma haziingii mifukoni mwa wajanja wachache, wanataka kuona miradi mkakati kama JNHP, Sgr, nk inakamilika.

Ikitokea mwanachama wa chamq tawala anatumia haki yake ya kikatiba kuhoji juu makosa yanahofanywa na chama chake,sio kosa hata kidogo.

My take; Chama tawala makini lazima kikosolewe na kujirekebisha mara moja.
 
Vipi chadema mnapenda kukosolewa

USSR
 
Hii tabia ya kijinga inaendelea kuota mizizi kwenye hili taifa inafaa kukemewa kwa nguvu zote, haifai kujiita taifa la demokrasia huku kuwindana ndio kumekuwa order of the day, huu ni udikteta na lazima ukomeshwe.
 
awamu ya tano chama tawala hakikutaka pia kukosolewa na wanachama wake, awamu ya tano tena aka awamu yasita ni wapi imekosolewa na wanachama wake ikakataa?..
 
Poti bado haujakubali tuu hizi ni zama mpya poti? kupondea hakutasaidia je, ni miezi hii 9 tu ndio chama kimekataa kukosolewa?
 
Back
Top Bottom