Ukiona dalili hizi kwa mwanamke wako achana nae atakusumbua mbeleni

Ukiona dalili hizi kwa mwanamke wako achana nae atakusumbua mbeleni

This is exactly what im saying brother……ubinafsi, kunyenyekewa….Never beg for love brother yani soko hili ni kubwa mnoo kwa men yani wanawake ni wengi mnooo ila kwao soko lao ndio gumu sana maana waowaji na wenye vigezo shababi vya kuoa + kuwa ideal provider ni wachache mnooo. Istoshe nature yao ni kufatwa sio kufata.

Unakuta dem ana 32 single alaf bado tabia mbovu mi najiulizaga sana sijui yanawazaga nn ?? Hayajishtukii kabisa. On the side unakuta mtoto ana 22 - 26 kakomaa mtoto kakaa vizuri balaa alaf unakuta mtu ana 33 tabia za kipuuzi + ujinga ujinga tu.

Mi nakulaga nasepa, nawaacha na upumba.vu wao.
Mkuu heshima yako, nina mwanamke wa kwanza nafikiria kumuoa ni dogo wa 23 ndo anamaliza kusoma, she is so humble, hana mambo mengi. Ukimtoa dinner, lunch atakupenda balaa.

Halafu kuna wa 29, huyu ni kiburi, hasira, kupenda kunyenyekewa n.k ila ana good appearance, hivi huyu anaweza badilika kweli? Ni kanda ya kaskazini.
 
Mkuu heshima yako, nina mwanamke wa kwanza nafikiria kumuoa ni dogo wa 23 ndo anamaliza kusoma, she is so humble, hana mambo mengi. Ukimtoa dinner, lunch atakupenda balaa.

Halafu kuna wa 29, huyu ni kiburi, hasira, kupenda kunyenyekewa n.k ila ana good appearance, hivi huyu anaweza badilika kweli? Ni kanda ya kaskazini.

Blo Komaa Na Huyo Wa 23 Ndio Utaedumu Nae Maana Uta Invest Kwake For The Long Run + Huenda Mileage Bado Haijasoma Sana (Atakua Bado Muoga Na Kuna Vitu Ukimfanyia Kuna Uwezekano Utakua Umepiga Muhuri Kwenye Moyo Wake)

Huyo wa 29 haezi badilika, Mkuu ukishaona mtu anapenda kunyenyekewa Ni Wazi Huyo Mtu Ana Itikadi Za Kunyanyasa (Unyanyasaji) Achana Nae. I Know What Im Saying. Kama Kala Hela Zako Piga Pu.Mbu Ila Usiweke Kambi Hapo. Ukisha Earn Ur Returns Bwaga. Hawanaga Maana Hao Nawajua.
 
Blo Komaa Na Huyo Wa 23 Ndio Utaedumu Nae Maana Uta Invest Kwake For The Long Run + Huenda Mileage Bado Haijasoma Sana (Atakua Bado Muoga Na Kuna Vitu Ukimfanyia Kuna Uwezekano Utakua Umepiga Muhuri Kwenye Moyo Wake)

Huyo wa 29 haezi badilika, Mkuu ukishaona mtu anapenda kunyenyekewa Ni Wazi Huyo Mtu Ana Itikadi Za Kunyanyasa (Unyanyasaji) Achana Nae. I Know What Im Saying. Kama Kala Hela Zako Piga Pu.Mbu Ila Usiweke Kambi Hapo. Ukisha Earn Ur Returns Bwaga. Hawanaga Maana Hao Nawajua.
Huyu wa 29 ni mtu ambae muda mwingi kwa simu utamsikia akisikiliza mahubiri, J2 hawezi acha ibada. Kuna muda huwa najiuliza ni maroho ya kwao ndo yanamfanya awe na mambo ya ajabu au ni nini? Ni mchaga. Ni mjuaji sana, lipokuja suala la hela hakuna kitu utamwambia, yupo tayari asiwasiliane na mimi hata wiki nzima akiwa anafatilia ishu zake za ela. Mikosana kukununia ni suala la kawaida tu mpaka mimi ndo nimuanze.

Huyu wa 23 aliwahi nambia ni BK na kwa 90% naamini hilo kwa muda ambao nimemsoma. Anansumbua sana kwenye kumpata, mara aseme ana mtu wake, lakini mfano jana nikamnunulia pad na vitu vingine vya kike na yupo comfortble, mkipishana hawezi kukukalia kimya, hana hasira, nikiongea ananisikiliza kuliko huyu mwingine ana ujuaji mwingi.

Huyu wa 29 nilimpenda sana sana na kumuamini.
 
Huyu wa 29 ni mtu ambae muda mwingi kwa simu utamsikia akisikiliza mahubiri, J2 hawezi acha ibada. Kuna muda huwa najiuliza ni maroho ya kwao ndo yanamfanya awe na mambo ya ajabu au ni nini? Ni mchaga. Ni mjuaji sana, lipokuja suala la hela hakuna kitu utamwambia, yupo tayari asiwasiliane na mimi hata wiki nzima akiwa anafatilia ishu zake za ela. Mikosana kukununia ni suala la kawaida tu mpaka mimi ndo nimuanze.

Huyu wa 23 aliwahi nambia ni BK na kwa 90% naamini hilo kwa muda ambao nimemsoma. Anansumbua sana kwenye kumpata, mara aseme ana mtu wake, lakini mfano jana nikamnunulia pad na vitu vingine vya kike na yupo comfortble, mkipishana hawezi kukukalia kimya, hana hasira, nikiongea ananisikiliza kuliko huyu mwingine ana ujuaji mwingi.

Huyu wa 29 nilimpenda sana sana na kumuamini.

Babu ishi na huyo wa 23. Nisikize mi nachokuambia. Kama huamini endelea.

Hamnaga mapenzi ya kunyenyekea bob. Anaekupenda hatokuumiza kichwa.
 
Hata kumjibu shit tu mkuu inatosha [emoji1787][emoji1787]

Yani aisee wengi kuwatingisha kdgo tu mwanamke anaropoka mambo kibao unamchota akili tu unaona kabisa wahed hili unapiga chini. Hyo kitu ninayo sana.
Mi huona kofi ndo njia sahihi kabisa
 
Ebana eeeh kwema wadau

I rarely post jukwaa hili mara nyingi napita na soma na ku comment tu. Ila mpaka nimeamua kuanzisha thread ni vile nataka wanaume wenzangu hususani vijana ambao mna muelekeo wa kwenda kufunga au kubariki ndoa (kipindi cha ku date na kipindi cha uchumba)

Naturally na biblically (kwenye vitabu vitakatatifu) sisi wanaume hatujakamilika na tuna mapungufu yetu lakini ili tu function vizuri kwenye maisha ni lazima tuwe na ubavu wetu (mwanamke) na sio tu mwanamke bali mwanamke sahihi kinyume na hapo either mambo na maendelo yako yatakua stagnant (hayastawi) ama kuharibikiwa kabisa.

Zipo dalili nyingi sana mbaya tunaweza tukawa tunaziona kwa wanawake ila tunaamua kuzipuuza ila in reality tukishaingia kwenye ndoa zinaongezeka maradufu hatimae kuelekea kuharibikiwa (NB: uhuni, umalaya sio kigezo pekee cha kuachana na mwanamke)

To The Matter, Ukiona viasharia vya tabia hizi kwa mwanamke wako achana nae ni wazi baadae hutafurahia ndoa yako

1. Ubinafsi: Mwananmke mwenye kujithamini zaidi yeye kuliko wewe ambae chances unapambana ku provide sana kwake hakufwai. Upendo na Huruma vinakwenda sambamba, huyu siku uko na hali mbaya hatakua na uchungu na wewe.

2. Dharau: Ukishaona viashiria vya dharau kwa mwanamke wako tena za wazi wazi huyu hakufwai ni wazi hawezi kutunzia heshima yako hata anapokua na watu ambao wanaku undermine, she will never defend you ukiwa haupo na hii hata kwa ndugu zake. Achana na mwanamke asiyejua kusitiri madhaifu ya nyumba yake…..hata kama mambo hayako shawari kati yenu hekima ni kuficha uozo wenu huku mkipambania suluhu kimya kimya. People really dont care about ur problems zaidi ni unafiki tu.

3. Kunyenyekewa: Epuka mwanamke anaependa kunyenyekewa sanaa. Yani wewe mwanaume ukiwa unahitaji kitu kwa mwanamke wako mpaka ubembeleze uombe sanaa kama vile ni hisani kupata kitu flan kwa mkeo. This is very wrong maana kama wewe una provide basics zote why ukiwa na uhitaji uombe na kunyenyekea sana. Wote mnajua umuhimu wa mtu kwa mwenzake. Why beg ?? Haiko sawa ukiona hivyo piga chini. Hizi ni itikadi za unyanyasaji. Jamani kuna wanawake wana nyanyasa, vile wanaume tumeumbiwa ukimya hatuwezi lia lia kwa kila jambo. Amini kwamba.

4. Lugha Na Kauli Chafu: Hii inaendana na point no. 2. Mwanamke asie na staha, heshima na adabu hafai. Brand safi ya familia na nyumba yako ni muhimu. Usitolerate kabisa lugha na kauli chafu from your woman kwenye hadhara hata kama ni utani. Amethubutu kwenye hadhara siku nyingine atakukosea heshima hadharani pia na ni likely hana maadili.

5. Kuendekeza Anasa na Starehe: Sina sababu kueleza sana hapa vijana wa mjini mnanielewa. Ukishaona ni wa hivi chances hana mtazamo wa kutunza hela na kuzalisha mali piga chini. Hamtafika popote ukiwa na mwanamke wa hivi. Mwanamke asiye kua na kiasi na kuwa economical na kukuhamasisha wewe mwanaume kuwa economical na your spending habits achana nae hakufwai. Siku huna kitu lazima asepe na wenye nazo.

Achana kabisa na mwanamke anaekula sana pombe. Kwenye pombe kuna mambo mengi ya kidunia huyu mwanamke hatokufaa.

6. Greed / Tamaa - Muogope mwanamke mwenye tamaa kama ukimwi. Huyu atafanya chochote hata kukuwekea mitego mibaya ili atimize haja zake. Kama mmependana kweli na kuamua kukaa wote kwa shida na raha why aweke misimamo na itikadi za tamaa kama hivi vyake na hivi alileta na kufanya yeye nyumbani na vingine ni vyako. Why kuwe na atmosphere ya mali zako na mali zake kama vyote mnatafuta na kuchangia kwa pamoja mbali ya kwamba mnafanyia nyumba yenu na kwa faida ya watoto. Hii ni shida, divorce rates are high mali nyingi zinaleta shida na wengine hata kuishia pabaya.


Well ndugu zangu naomba na nyie muongezee zingine kama mna cases mnaweza share vijana tujifunze na kuimarika kifikra na mtazamo.

Ni mbaya na hatari kupuuza dalili zote mbaya na chafu za mpenzi wako maana badaae madhara yake ni makubwa na hayataweza tatuliwa kwani ulishafanya mistake kubwa itayo kugharimu ur whole life.

Huo ni mtazamo wangu, Ahsanteni.
Safi sana , one of the best thread I ever seen here.
 
haya mambo ya mapenzi ni PASUA KICHWA. kikubwa kujijenga na kujiimarisha ki_UCHUMI, kuzaa nao kisha kulea watoto.baaaa$.....!!! inatosha.
 
Ebana eeeh kwema wadau

I rarely post jukwaa hili mara nyingi napita na soma na ku comment tu. Ila mpaka nimeamua kuanzisha thread ni vile nataka wanaume wenzangu hususani vijana ambao mna muelekeo wa kwenda kufunga au kubariki ndoa (kipindi cha ku date na kipindi cha uchumba)

Naturally na biblically (kwenye vitabu vitakatatifu) sisi wanaume hatujakamilika na tuna mapungufu yetu lakini ili tu function vizuri kwenye maisha ni lazima tuwe na ubavu wetu (mwanamke) na sio tu mwanamke bali mwanamke sahihi kinyume na hapo either mambo na maendelo yako yatakua stagnant (hayastawi) ama kuharibikiwa kabisa.

Zipo dalili nyingi sana mbaya tunaweza tukawa tunaziona kwa wanawake ila tunaamua kuzipuuza ila in reality tukishaingia kwenye ndoa zinaongezeka maradufu hatimae kuelekea kuharibikiwa (NB: uhuni, umalaya sio kigezo pekee cha kuachana na mwanamke)

To The Matter, Ukiona viasharia vya tabia hizi kwa mwanamke wako achana nae ni wazi baadae hutafurahia ndoa yako

1. Ubinafsi: Mwananmke mwenye kujithamini zaidi yeye kuliko wewe ambae chances unapambana ku provide sana kwake hakufwai. Upendo na Huruma vinakwenda sambamba, huyu siku uko na hali mbaya hatakua na uchungu na wewe.

2. Dharau: Ukishaona viashiria vya dharau kwa mwanamke wako tena za wazi wazi huyu hakufwai ni wazi hawezi kutunzia heshima yako hata anapokua na watu ambao wanaku undermine, she will never defend you ukiwa haupo na hii hata kwa ndugu zake. Achana na mwanamke asiyejua kusitiri madhaifu ya nyumba yake…..hata kama mambo hayako shawari kati yenu hekima ni kuficha uozo wenu huku mkipambania suluhu kimya kimya. People really dont care about ur problems zaidi ni unafiki tu.

3. Kunyenyekewa: Epuka mwanamke anaependa kunyenyekewa sanaa. Yani wewe mwanaume ukiwa unahitaji kitu kwa mwanamke wako mpaka ubembeleze uombe sanaa kama vile ni hisani kupata kitu flan kwa mkeo. This is very wrong maana kama wewe una provide basics zote why ukiwa na uhitaji uombe na kunyenyekea sana. Wote mnajua umuhimu wa mtu kwa mwenzake. Why beg ?? Haiko sawa ukiona hivyo piga chini. Hizi ni itikadi za unyanyasaji. Jamani kuna wanawake wana nyanyasa, vile wanaume tumeumbiwa ukimya hatuwezi lia lia kwa kila jambo. Amini kwamba.

4. Lugha Na Kauli Chafu: Hii inaendana na point no. 2. Mwanamke asie na staha, heshima na adabu hafai. Brand safi ya familia na nyumba yako ni muhimu. Usitolerate kabisa lugha na kauli chafu from your woman kwenye hadhara hata kama ni utani. Amethubutu kwenye hadhara siku nyingine atakukosea heshima hadharani pia na ni likely hana maadili.

5. Kuendekeza Anasa na Starehe: Sina sababu kueleza sana hapa vijana wa mjini mnanielewa. Ukishaona ni wa hivi chances hana mtazamo wa kutunza hela na kuzalisha mali piga chini. Hamtafika popote ukiwa na mwanamke wa hivi. Mwanamke asiye kua na kiasi na kuwa economical na kukuhamasisha wewe mwanaume kuwa economical na your spending habits achana nae hakufwai. Siku huna kitu lazima asepe na wenye nazo.

Achana kabisa na mwanamke anaekula sana pombe. Kwenye pombe kuna mambo mengi ya kidunia huyu mwanamke hatokufaa.

6. Greed / Tamaa - Muogope mwanamke mwenye tamaa kama ukimwi. Huyu atafanya chochote hata kukuwekea mitego mibaya ili atimize haja zake. Kama mmependana kweli na kuamua kukaa wote kwa shida na raha why aweke misimamo na itikadi za tamaa kama hivi vyake na hivi alileta na kufanya yeye nyumbani na vingine ni vyako. Why kuwe na atmosphere ya mali zako na mali zake kama vyote mnatafuta na kuchangia kwa pamoja mbali ya kwamba mnafanyia nyumba yenu na kwa faida ya watoto. Hii ni shida, divorce rates are high mali nyingi zinaleta shida na wengine hata kuishia pabaya.


Well ndugu zangu naomba na nyie muongezee zingine kama mna cases mnaweza share vijana tujifunze na kuimarika kifikra na mtazamo.

Ni mbaya na hatari kupuuza dalili zote mbaya na chafu za mpenzi wako maana badaae madhara yake ni makubwa na hayataweza tatuliwa kwani ulishafanya mistake kubwa itayo kugharimu ur whole life.

Huo ni mtazamo wangu, Ahsanteni.
Watoto wa 2000 hao
 
Back
Top Bottom