Ukiona gari la wagonjwa, polisi au zimamoto wamewahi kwenye tukio kwa wakati tambua hili

Ukiona gari la wagonjwa, polisi au zimamoto wamewahi kwenye tukio kwa wakati tambua hili

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Popote ukiona gari la wagonjwa, polisi au zimamoto wamewahi kwa wakati tambua kuna hili.
  1. Wapo kwenye mazoezi ya utayari (show off) hivyo chochote watakachokifanya kisikuaminishe kwamba ni kweli
  2. Wanakuwa wametumwa kukamilisha mpango kazi maalum katika tukio hill
  3. Watakuwa walikuwa wanapita njia bahati nzuri ajali ikatokea mbele yao
  4. Aliyepata ajali ni miongoni mwao
Kipimo kizuri cha utayali ni matukio natural! Namna yanavyoshughulikiwa.

Mfano!
Tulitakiwa tutazame ajali ya mwendokasi Jana iliyotokea kisutu! Endapo gari lile lingewaka moto je zimamoto walitumia muda gani kufika pale! Umbali wa 500m tu kutoka makao ya zimamoto! Tena kwenye barabara iliyo nyooka!

Kama walifika ndani ya dakika 20 ni sawa lakini kama walikuja saa moja au mbili baadae! Tunatakiwa tujitathimi!

Mazoezi ya utayali yawe na uhalisia!
 
Barabara ya mwendokasi sawa na barabara ya reli ndio maana ni maalumu. Vyombo vingi vimejikuta kupata ajari sehemu hiyo. Kitendo kilichotokea mwendokasi sio kosa la dereva wa basi sasa ni njia yake kama treni.
Kila mtu anapofika kukatiza njia hii lazima kuwa mpole.mbona.kwenye treni mnafanya hivo au sababu ni gari
 
Barabara ya mwendokasi sawa na barabara ya reli ndio maana ni maalumu.
Vyombo vingi vimejikuta kupata ajari sehemu hiyo.
Kitendo kilichotokea mwendokasi sio kosa la dereva wa basi sasa ni njia yake kama treni.
Kila mtu anapofika kukatiza njia hii lazima kuwa mpole.mbona.kwenye treni mnafanya hivo au sababu ni gari
Nachouliza endapo lile gari lingewaka zimamoto walikuja pale baada ya muda gani? Huu ndiyo utayali jamii inatakiwa ionyeshwe! Siyo maigizo ya posho
 
Huwezi kusema una okoa "Ajali ya kujiandaa" wakati ikitokea Ajali halisi uokozi ni zero..

Hii ina maanisha kwamba waokoaji wanafahamu eneo husika la ajali, wanafahamu siku, tarehe na muda wa ajali itakapo tokea..watakuwa tayari tayari eneo husika la ajali ya mafunzo.

Sasa kwenye Ajali halisi uokozi ni zero na waokoaji hufika kwa kuchelewa.

Hivyo hayo wanachofanya hao "mazoezi ya utayari ya uokoaji" ni ujinga tu na ufinyu wa fikra.
 
Huwezi kusema una okoa "Ajali ya kujiandaa" wakati ikitokea Ajali halisi uokozi ni zero..

Hii ina maanisha kwamba waokoaji wanafahamu eneo husika la ajali, wanafahamu siku, tarehe na muda wa ajali itakapo tokea..watakuwa tayari tayari eneo husika la ajali ya mafunzo.

Sasa kwenye Ajali halisi uokozi ni zero na waokoaji hufika kwa kuchelewa.

Hivyo hayo wanachofanya hao "mazoezi ya utayari ya uokoaji" ni ujinga tu na ufinyu wa fikra.
Kabisa ..walitakiwa wawahi kwenye ajali halisi kama Jana kwenye mwendokasi
 
Ahsante kwa taarifa mkuu dmkali afu tafadhali tuambie ni timu itakayoshinda ligi ya Uingereza😂
 
Huwezi kusema una okoa "Ajali ya kujiandaa" wakati ikitokea Ajali halisi uokozi ni zero..

Hii ina maanisha kwamba waokoaji wanafahamu eneo husika la ajali, wanafahamu siku, tarehe na muda wa ajali itakapo tokea..watakuwa tayari tayari eneo husika la ajali ya mafunzo.

Sasa kwenye Ajali halisi uokozi ni zero na waokoaji hufika kwa kuchelewa.

Hivyo hayo wanachofanya hao "mazoezi ya utayari ya uokoaji" ni ujinga tu na ufinyu wa fikra.
Usanii tu,hapo wanaidhinisha posho ya kutosha kwenye zoezi hilo 😅 mtu mweusi ni mweusi tu,hamna jipya.
 
Usanii tu,hapo wanaidhinisha posho ya kutosha kwenye zoezi hilo 😅 mtu mweusi ni mweusi tu,hamna jipya.
Mahesabu mengine ni ya kawaida kabisa kwamba ajali halisi hawaendi kwa wakati halafu za kubumba wanajidai wanawah
 
Popote ukiona gari la wagonjwa, polisi au zimamoto wamewahi kwa wakati tambua kuna hili.
  1. Wapo kwenye mazoezi ya utayari (show off) hivyo chochote watakachokifanya kisikuaminishe kwamba ni kweli
  2. Wanakuwa wametumwa kukamilisha mpango kazi maalum katika tukio hill
  3. Watakuwa walikuwa wanapita njia bahati nzuri ajali ikatokea mbele yao
  4. Aliyepata ajali ni miongoni mwao
Kipimo kizuri cha utayali ni matukio natural! Namna yanavyoshughulikiwa.

Mfano!
Tulitakiwa tutazame ajali ya mwendokasi Jana iliyotokea kisutu! Endapo gari lile lingewaka moto je zimamoto walitumia muda gani kufika pale! Umbali wa 500m tu kutoka makao ya zimamoto! Tena kwenye barabara iliyo nyooka!

Kama walifika ndani ya dakika 20 ni sawa lakini kama walikuja saa moja au mbili baadae! Tunatakiwa tujitathimi!

Mazoezi ya utayali yawe na uhalisia!
Mita 500 kwa gari la zimamoto kutumia 20 ni uzembe wa hali ya juu
 
Hii ya mamlaka ya usafiri wa anga kufanya mazoezi ya utayari kupitia uhai wa watu litazamwe
 
Huwezi kusema una okoa "Ajali ya kujiandaa" wakati ikitokea Ajali halisi uokozi ni zero..

Hii ina maanisha kwamba waokoaji wanafahamu eneo husika la ajali, wanafahamu siku, tarehe na muda wa ajali itakapo tokea..watakuwa tayari tayari eneo husika la ajali ya mafunzo.

Sasa kwenye Ajali halisi uokozi ni zero na waokoaji hufika kwa kuchelewa.

Hivyo hayo wanachofanya hao "mazoezi ya utayari ya uokoaji" ni ujinga tu na ufinyu wa fikra.
Posho tu hapo.
 
Back
Top Bottom