Ukiona hadi mafisadi wanaikosoa serikali lazima uogope

Ukiona hadi mafisadi wanaikosoa serikali lazima uogope

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Nimesikia baadhi ya wanasiasa kwa wakati tofauti wakikosoa upigaji serkalini.

Jana nilimskia mwanasiasa mmoja ambaye ana mabasi na malori yanayozidi mia tano akishutumu upigaji .serkalini.

Kikawaida sio kuona mtu km huyu akiongea kwasababu ya kuwa salama kulinda mali zake.

Ukiona watu km hawa ambao wana connection za kila aina serkalini ujue hali sio nzuri.

Lazima kuwe na mambo mawili.

Eidha maslahi yake yamedunishwa ameyachukua mwingne, au wameiba na hakuna tena cha kuiba hadi wanajipata na aibu.

Watanganyika tusiwaamini hawa wnaojiita viongozi tuamke tulikomboe taifa letu kwa ajili ya vizazi vyetu.
 
Nimesikia baadhi ya wanasiasa kwa wakati tofauti wakikosoa upigaji serkalini.

Jana nilimskia mwanasiasa mmoja ambaye ana mabasi na malori yanayozidi mia tano akishutumu upigaji .serkalini.

Kikawaida sio kuona mtu km huyu akiongea kwasababu ya kuwa salama kulinda mali zake.

Ukiona watu km hawa ambao wana connection za kila aina serkalini ujue hali sio nzuri.

Lazima kuwe na mambo mawili.

Eidha maslahi yake yamedunishwa ameyachukua mwingne, au wameiba na hakuna tena cha kuiba hadi wanajipata na aibu.

Watanganyika tusiwaamini hawa wnaojiita viongozi tuamke tulikomboe taifa letu kwa ajili ya vizazi vyetu.
Sio kwamba kakosa mgao?
 
Nimesikia baadhi ya wanasiasa kwa wakati tofauti wakikosoa upigaji serkalini.

Jana nilimskia mwanasiasa mmoja ambaye ana mabasi na malori yanayozidi mia tano akishutumu upigaji .serkalini.

Kikawaida sio kuona mtu km huyu akiongea kwasababu ya kuwa salama kulinda mali zake.

Ukiona watu km hawa ambao wana connection za kila aina serkalini ujue hali sio nzuri.

Lazima kuwe na mambo mawili.

Eidha maslahi yake yamedunishwa ameyachukua mwingne, au wameiba na hakuna tena cha kuiba hadi wanajipata na aibu.

Watanganyika tusiwaamini hawa wnaojiita viongozi tuamke tulikomboe taifa letu kwa ajili ya vizazi vyetu.
Samaki huoza kuanzia kichwani
 
Huyo ana hasira..kalimwa faini heavy juzi kati
 
Waibe kila mahali ila si kwenye SGR na Nyerere Dam
 
Nimesikia baadhi ya wanasiasa kwa wakati tofauti wakikosoa upigaji serkalini.

Jana nilimskia mwanasiasa mmoja ambaye ana mabasi na malori yanayozidi mia tano akishutumu upigaji .serkalini.

Kikawaida sio kuona mtu km huyu akiongea kwasababu ya kuwa salama kulinda mali zake.

Ukiona watu km hawa ambao wana connection za kila aina serkalini ujue hali sio nzuri.

Lazima kuwe na mambo mawili.

Eidha maslahi yake yamedunishwa ameyachukua mwingne, au wameiba na hakuna tena cha kuiba hadi wanajipata na aibu.

Watanganyika tusiwaamini hawa wnaojiita viongozi tuamke tulikomboe taifa letu kwa ajili ya vizazi vyetu.
Kwanini mfanyabiashara tajiri anaitwa fisadi? Hii roho ya chuki kwa matajiri inadumaza uwezo wa kufikiri. Hata mada uliyoleta inakuwa useless
 
Nimesikia baadhi ya wanasiasa kwa wakati tofauti wakikosoa upigaji serkalini.

Jana nilimskia mwanasiasa mmoja ambaye ana mabasi na malori yanayozidi mia tano akishutumu upigaji .serkalini.

Kikawaida sio kuona mtu km huyu akiongea kwasababu ya kuwa salama kulinda mali zake.

Ukiona watu km hawa ambao wana connection za kila aina serkalini ujue hali sio nzuri.

Lazima kuwe na mambo mawili.

Eidha maslahi yake yamedunishwa ameyachukua mwingne, au wameiba na hakuna tena cha kuiba hadi wanajipata na aibu.

Watanganyika tusiwaamini hawa wnaojiita viongozi tuamke tulikomboe taifa letu kwa ajili ya vizazi vyetu.
Nimesoma mada yako, justification kuwa mtu ni fisadi kwanza ni tajiri na ana mabasi mengi? For the record shabiby anaingia kwenye ubunge akiwa ni tajiri tayari.

Hii mindset ya kila mtu mwenye mafanikio ni fisadi huwa mnaitoa wapi?
 
Screenshot_20240614-113425_Instagram.jpg
 
Watanganyika
Yule Mzee alishasema dhambi ya ubaguzi ni mbaya "watakapoamka wakiamka na kuanza kuidai Tanganyika watakuta hakuna Tanganyika wala hakuna mtanganyika bali kuna mgogo, kuna mpare, kuna mmakonde, kuna mzanaki... Hakuna Tanganyika wala hakuna mtanganyika kabisa kabisa"

Teacher JKN was a master planner of all you can't double cross him, he teaches you while he is sleeping
 
Acha story huyu hawez kuwa fisadi ni mfanyabiashara tu,Na kama wafanyabiashara wengine anawezo kufanya janja-janja za hapa na pale!Mafisad ni hao ambao wapo serikaln
 
Back
Top Bottom