Viongozi wengi wakubwa kwenye vyama vya siasa wanaokubalika wanapoondoka kwenye vyama vyao huondoka na kijiji, kwa maana wanaondoka na wafuasi wao, maana wanakuwa nao.
Lowassa alipokwenda Chadema alikuja mpaka na watu wa Usalama wa Taifa, alihama na Polisi na alihama na viongozi kadhaa, wengine ili wasidhuriwe walihama kimoyomoyo akiwemo Emmanuel Nchimbi na Sofia Simba. Wengine wamefia Chadema akiwemo Dkt Makongoro Mahanga.
Sasa ukiona Kiongozi anahama peke yake jua kwamba lilikuwa galasa, hakuwa na watu na kama ni hivyo huyo mtu maana yake alikuwa selfish na tabia yake kwa ujumla ianze kutiliwa mashaka.
PIA SOMA
-
Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM