MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama Wewe unazitaka kwa Udi na Uvumba Alama ( Points ) Sita ( 6 ) za Ndani Nje za Mganda unadhani na Yeye Mganda hazitaki zako Sita ( 6 ) za Nje Ndani?
Halafu nani aliyewaambia na Kuwadanganya kuwa Mgine nae akija Temeke atakuja Kizembezembe wakati Kimahesabu Yeye na Wewe ( Sisi ) Kinyumenyume Ziingie Tatu za Mwarabu FC ameshaona kuwa ana 75% ya Kufuzu akiungana na Mwarabu Wetu ambaye nina uhakika hata Turoge vipi tukienda Kwao zikipungua mno tunafungwa nao 8 kwa 0 japo Mimi kwa Kikosi chetu cha hovyo hovyo na Fitna zao Waarabu naziona kabisa Goli 9 ( Kenda ) za Kufungwa nao.
Acheni kupoteza muda tulipo anapita Mwarabu na Mgine na Sisi tujipange tu na NBC Premier League yetu, TFF ASFC, Mapinduzi Cup ijayo na Kununua Wachezaji wa hovyo hovyo na wa Bei Nafuu ( huku Mwekezaji Panjuani Kibyongo ) akipigwa nao tu 10% na Wajanja huku wakiendelea Kutajirika na Kuporomosha Majumba na Shopping Malls Wilaya ya Kinondoni.
Tukifuzu ( tukichomoka ) hapa kwa hili Timu letu Bovu lenye Michezaji ya hovyo naenda Kunya kwa Makusudi pale MP1 Lugalo Makongo mbele ya Afande Victor na Afande Jane.
Endeleeni tu Kudanganyana kwa Hesabu zenu za Vidole na Kubashiri ( huku mkimuombea mabaya Mganda ) na kujipa Moyo kuwa tutafuzu / mtafuzu.
Hovyo kabisa.....!!!!!!
Halafu nani aliyewaambia na Kuwadanganya kuwa Mgine nae akija Temeke atakuja Kizembezembe wakati Kimahesabu Yeye na Wewe ( Sisi ) Kinyumenyume Ziingie Tatu za Mwarabu FC ameshaona kuwa ana 75% ya Kufuzu akiungana na Mwarabu Wetu ambaye nina uhakika hata Turoge vipi tukienda Kwao zikipungua mno tunafungwa nao 8 kwa 0 japo Mimi kwa Kikosi chetu cha hovyo hovyo na Fitna zao Waarabu naziona kabisa Goli 9 ( Kenda ) za Kufungwa nao.
Acheni kupoteza muda tulipo anapita Mwarabu na Mgine na Sisi tujipange tu na NBC Premier League yetu, TFF ASFC, Mapinduzi Cup ijayo na Kununua Wachezaji wa hovyo hovyo na wa Bei Nafuu ( huku Mwekezaji Panjuani Kibyongo ) akipigwa nao tu 10% na Wajanja huku wakiendelea Kutajirika na Kuporomosha Majumba na Shopping Malls Wilaya ya Kinondoni.
Tukifuzu ( tukichomoka ) hapa kwa hili Timu letu Bovu lenye Michezaji ya hovyo naenda Kunya kwa Makusudi pale MP1 Lugalo Makongo mbele ya Afande Victor na Afande Jane.
Endeleeni tu Kudanganyana kwa Hesabu zenu za Vidole na Kubashiri ( huku mkimuombea mabaya Mganda ) na kujipa Moyo kuwa tutafuzu / mtafuzu.
Hovyo kabisa.....!!!!!!