GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Dada kila GENTAMYCINE nikibahatisha kuwa na Hela au Nikiokota Pesa njiani huwa napenda Kununua Vyuku ( Nyama ya Kuku ) wa Kukaanga Kwake.
Kilichonishangaza na Kunishtua kila nikienda Kununua huwa ananiambia kuwa nikianza Mimi Kununua Kuku Kwake huwa zinatoka upesi na Wateja humiminika kiasi kwamba kwa dalili nizionazo hata nikimuomba Mbunye yake Niitandike / Niitindue hawezi Kuninyima.
Aliponichosha sasa ni tabia yake ya Wiki nzima kila akiniona ananiomba nimpe Hela akanunue Soda na GENTAMYCINE nikimwambie nimuagizie Soda anywe hataki na huwa ananikunjia Sura kwa Kuchukia.
Kuna Mtu Mmoja ( Mzee na Mtaalam ) nilipomgusia hili akanionya nisithubutu kumpa Hela ya Kuomba kwani anataka Kuchukua Nyota yangu ya Kimvuto kwa Biashara yake hiyo.
Muwe makini na nyie Wengine wenye Nyota Kali na za Kimvuto msije Kutegwa na mkajikuta mnawatajirisha Watu nanyi kusota na Umasikini.
Kilichonishangaza na Kunishtua kila nikienda Kununua huwa ananiambia kuwa nikianza Mimi Kununua Kuku Kwake huwa zinatoka upesi na Wateja humiminika kiasi kwamba kwa dalili nizionazo hata nikimuomba Mbunye yake Niitandike / Niitindue hawezi Kuninyima.
Aliponichosha sasa ni tabia yake ya Wiki nzima kila akiniona ananiomba nimpe Hela akanunue Soda na GENTAMYCINE nikimwambie nimuagizie Soda anywe hataki na huwa ananikunjia Sura kwa Kuchukia.
Kuna Mtu Mmoja ( Mzee na Mtaalam ) nilipomgusia hili akanionya nisithubutu kumpa Hela ya Kuomba kwani anataka Kuchukua Nyota yangu ya Kimvuto kwa Biashara yake hiyo.
Muwe makini na nyie Wengine wenye Nyota Kali na za Kimvuto msije Kutegwa na mkajikuta mnawatajirisha Watu nanyi kusota na Umasikini.