Ukiona Mfanyabiashara yeyote anakufanyia hivi jua anaitaka Nyota yako Kali ili imsaidie Kibiashara

Ukiona Mfanyabiashara yeyote anakufanyia hivi jua anaitaka Nyota yako Kali ili imsaidie Kibiashara

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Dada kila GENTAMYCINE nikibahatisha kuwa na Hela au Nikiokota Pesa njiani huwa napenda Kununua Vyuku ( Nyama ya Kuku ) wa Kukaanga Kwake.

Kilichonishangaza na Kunishtua kila nikienda Kununua huwa ananiambia kuwa nikianza Mimi Kununua Kuku Kwake huwa zinatoka upesi na Wateja humiminika kiasi kwamba kwa dalili nizionazo hata nikimuomba Mbunye yake Niitandike / Niitindue hawezi Kuninyima.

Aliponichosha sasa ni tabia yake ya Wiki nzima kila akiniona ananiomba nimpe Hela akanunue Soda na GENTAMYCINE nikimwambie nimuagizie Soda anywe hataki na huwa ananikunjia Sura kwa Kuchukia.

Kuna Mtu Mmoja ( Mzee na Mtaalam ) nilipomgusia hili akanionya nisithubutu kumpa Hela ya Kuomba kwani anataka Kuchukua Nyota yangu ya Kimvuto kwa Biashara yake hiyo.

Muwe makini na nyie Wengine wenye Nyota Kali na za Kimvuto msije Kutegwa na mkajikuta mnawatajirisha Watu nanyi kusota na Umasikini.
 
Mwambie afanye Kazi kwa bidii atoe kwa wahitaji Sana usitafute mchawi
yani kama hizi vitu zingekua zinafanya kazi kwa ukubwa... mama angu angekua tajiri
mama anatoa mpaka mia ya mwisho , mpaka wanamwitaga Bikira Maria mana sio huruma ya kawaida.
Ila ana hiko kitu akiwa na shida sana akanung'unika hachelewi kujibiwa maombi yake. Ni mtoaji mpaka inabidi akiwa na hela umzingatie la sivyo atazigawa kwa wahitaji wote, kwanzia watoto mpaka wazee
kwanza roho yake sina
 
Bi mkubwa wangu ana hiki kitu kila anaponunua kitu wengine wanamwambia chukua tu ilimradi aanze..
naona washatembelea nyota yake ndo mana qna hali ngumu..
Uko sahihi kwa 100% Mkuu na huenda Mimi GENTAMYCINE huu Umasikini / Ukapuku wangu wa Kutukuka nilionao sasa mwaka wa 15 umetokana na Waswahili ( hasa Wafanyabiashara na Watu baki ) kutumia sana Nyota yangu ambayo Kiasili ni Kali, inang'aa na inafanikisha Watu.

Sasa hivi nitaanza kukataa kuwasalimia Watu ( hasa Waswahili ) kwa kuwapa Mkono wangu wenye Kiganja chenye Herufi M ( inayomaanisha Mafanikio na Baraka ) na hata kumpa Mfanyabiashara Hela Mkononi anunue Soda.

Ewe Mwenyezi Mungu Nisaidie Mwanao.
 
Wewe kuanza kununua na biashara yake ikaenda vizuri sana kwa siku hiyo inamaanisha NYOTA YAKO NI KALI SANA na HAIJACHAFULIWA.

Kumpa hela yako ni kweli ataitumia kuchukua nyota yako, alafu utaanza kugombana na watu ovyo, utakosa kibali kwa watu, mambo yako yataharibika na yake ndo yatakaa vizur zaidi.

Usije ukathubutu hata kulala nae sababu kuna njia ya kuchukua nyota kupitia ngono. Ndio maana akili yako imeshakwambia hata ukiomba hawez kataa, huo ni mtego.
 
Watu waoga sana🤣
Halafu wengi hawakijui hata wanachokiogopa 😅😅😅



Akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu, wawatoe, na kupoza magonjwa yote na udhaifu wa kila aina. - MATHAYO 10:1
 
Kuna wakati nilihisi ngota yangu imetembea..hapo ndipo nikipojua kulinda nyota yangu.

Kwa wasiojua nyota ni bahati. Sio kila mtu ana bahati. Na bahati wkt wote ni ile bahat yenye matokeo chanya.

Nikajifunza kulinda vyota hata ikiwa vipi flow ya mambo inakwenda kama kawaida na njia mija safi kabisa. Unaweza kuifanya hapohapo ulipo
 
Back
Top Bottom