Ukiona Mfanyabiashara yeyote anakufanyia hivi jua anaitaka Nyota yako Kali ili imsaidie Kibiashara

Ukiona Mfanyabiashara yeyote anakufanyia hivi jua anaitaka Nyota yako Kali ili imsaidie Kibiashara

Akiomba unamrushia kwa Tigo pesa, ili achukue nyota ya tigo 😅😅
Nilijaribu hili pia akakataa na Kungangania nimpe Hela kutoka Mkononi mwangu.

Na huyu Dada naogopa sasa hata Kumbandua kama Dalili ninazoziona Kwake kwani anaweza hata Kunyofoa Vuzi langu tukuka moja na Yeye ndiyo akawa ana Control Mkuyenge / Mkurudungu wangu muda gani Udinde na Ulale.

Kuanzia leo naanza Kumkwepa Mkuu.
 
Wewe kuanza kununua na biashara yake ikaenda vizuri sana kwa siku hiyo inamaanisha NYOTA YAKO NI KALI SANA na HAIJACHAFULIWA.

Kumpa hela yako ni kweli ataitumia kuchukua nyota yako, alafu utaanza kugombana na watu ovyo, utakosa kibali kwa watu, mambo yako yataharibika na yake ndo yatakaa vizur zaidi.

Usije ukathubutu hata kulala nae sababu kuna njia ya kuchukua nyota kupitia ngono. Ndio maana akili yako imeshakwambia hata ukiomba hawez kataa, huo ni mtego.
Asante sana Mkuu kwa Maelezo haya.
 
Hahahah mkuu genta, una mnyima tu dada wa watu hela ya soda bure, hataki umnunulie wew coz lengo lake ni kwamb ukishampa mkononi anaisave kwa ajili ya kujazia pale palipopungua tu, mfano. Chakula nyumban kwa ajili ya watoto etc
 
Hahahah mkuu genta, una mnyima tu dada wa watu hela ya soda bure, hataki umnunulie wew coz lengo lake ni kwamb ukishampa mkononi anaisave kwa ajili ya kujazia pale palipopungua tu, mfano. Chakula nyumban kwa ajili ya watoto etc
Nimeogopa sana Simpi na Simbandui.
 
Iyo kitu ipo mkuu nakumbuka kipindi flani pande za home kulikuwa na bimkubwa anauza sambusa nyumbani kwake Sasa Mimi nilikuwa napenda Sana sambua asubuhi Mimi ndo mteja wa Kwanza nimechukua sambusa zangu tano nazitafuta
Sasa kila siku nilikuwa nikifika pale yule bimkubwa full kujichangamkia na sambusa zingine ananipa bure tu
Nikaona kitonga ndo hichi Sasa siku nisipoenda kununua ananilaumu ata nikiwa Sina hela niende nikachukue tu
Pale nyumbani kwa yule mamaa kulikuwa na binti tulizoeana Sana ndo akanisanukia unajua shangazi anasema wew una nyota ya biashara ukianza kununua tu wew biashara siku hiyo inaenda vizuri ata siku mbili tatu......
Nikawaza nyota yangu ishachukuliwa Ila yule mama kwa Sasa ni marehemu apumzike kwa amani.....nilifaidi Sana sambusa zako
 
Kuuumbe!Mimi nikikataa kununua bidhaa uyo mchuuzi ataniomba ata anikopeshe nikienda maduka ya wanao nifahamu sihudumiwi haraka kwanza waniongeleshe ata dk2 na ghafla wateja wanaanza kujaa,nikiamua kuacha kazi mabosi wananuna wanadai nawanyima ridhki...na hii kitu ipo kwamwanangu wakiume pia,uko shuleni walimu wanamgombea awauzie viandazi vyao ila nimeenda mwenyewe kuwapiga marufuku hao walimu.Mimi ni ng'ombe yeye ni mbuzi kumbe ni nyota!au sio nyota hizi??
Fursa hiyo ichangamkie kabla hawajapita nayo.
 
Kuuumbe!Mimi nikikataa kununua bidhaa uyo mchuuzi ataniomba ata anikopeshe nikienda maduka ya wanao nifahamu sihudumiwi haraka kwanza waniongeleshe ata dk2 na ghafla wateja wanaanza kujaa,nikiamua kuacha kazi mabosi wananuna wanadai nawanyima ridhki...na hii kitu ipo kwamwanangu wakiume pia,uko shuleni walimu wanamgombea awauzie viandazi vyao ila nimeenda mwenyewe kuwapiga marufuku hao walimu.Mimi ni ng'ombe yeye ni mbuzi kumbe ni nyota!au sio nyota hizi??
GENTAMYCINE mwaka 2010 hadi 2014 nilikuwa Mkufunzi wa Chuo fulani ( Nakihifadhi ) na nakumbuka kwa Ufundishaji wangu, Ukomedi wangu, Upendo wangu, Urafiki na Kujishusha Kwangu kwa Wanafunzi kulinifanya Nipendwe, Nikubalike, Nijulikane mpaka Wakufunzi Wenzangu baadhi wakaanza Kunichukia huku Wengine hadi wakidiriki kusema Mimi ni Mchawi na Freemason.

Chuo kilipata Wanafunzi wengi kwani Wanafunzi waliokuwepo walikuwa Wakiwaambia Watu Wengine Ufundishaji wangu mpaka Wengine wakija Kuchukua Fomu za Kujiunga Kwanza wanaulizia Mwalimu GENTAMYCINE nipo? Ni nani? Na wakijibiwa nipo na Kuniona tu haraka mno wanalipia na kuchukua Fomu na Kuanza Masomo.

Nilipoingia hapo Chuoni nilikuwa Jumla ya Wanafunzi 1200 na nilipokuwepo Mimi mwaka 2010 hadi mwaka 2014 walikuwepo Wanafunzi 1900 na baada ya Kuondoka hapo mwaka 2014 hadi hivi sasa kuna Wanafunzi 700 tu ( narudia Wanafunzi 700 tu ) na nasikia hata Mmiliki wake anataka Kukifunga au Kukiuza tu kwa Mtu mwingine.

Nilipoondoka / Nilipoacha Kazi hapo mwaka 2014 niliacha Vilio sana kwa Wanafunzi hadi Wengine Kuuliza GENTAMYCINE nahamia Chuo gani labda ili wanifuate na nikawajibu tu kuwa narejea Kulima na Kufuga Kijijini Kwetu Kibubwa Wilaya ya Butiama Mkoa wa Mara ( Musoma ) kwa Wazanaki / Uzanakini.
 
Kuna Dada kila GENTAMYCINE nikibahatisha kuwa na Hela au Nikiokota Pesa njiani huwa napenda Kununua Vyuku ( Nyama ya Kuku ) wa Kukaanga Kwake.

Kilichonishangaza na Kunishtua kila nikienda Kununua huwa ananiambia kuwa nikianza Mimi Kununua Kuku Kwake huwa zinatoka upesi na Wateja humiminika kiasi kwamba kwa dalili nizionazo hata nikimuomba Mbunye yake Niitandike / Niitindue hawezi Kuninyima.

Aliponichosha sasa ni tabia yake ya Wiki nzima kila akiniona ananiomba nimpe Hela akanunue Soda na GENTAMYCINE nikimwambie nimuagizie Soda anywe hataki na huwa ananikunjia Sura kwa Kuchukia.

Kuna Mtu Mmoja ( Mzee na Mtaalam ) nilipomgusia hili akanionya nisithubutu kumpa Hela ya Kuomba kwani anataka Kuchukua Nyota yangu ya Kimvuto kwa Biashara yake hiyo.

Muwe makini na nyie Wengine wenye Nyota Kali na za Kimvuto msije Kutegwa na mkajikuta mnawatajirisha Watu nanyi kusota na Umasikini.
Popoma limeamka
 
Watu waoga sana🤣
Halafu wengi hawakijui hata wanachokiogopa 😅😅😅



Akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu, wawatoe, na kupoza magonjwa yote na udhaifu wa kila aina. - MATHAYO 10:1
Umeanza mama d
 
Nilipata mwanamke wa kimombasa kila nikipiga mbususu napata dili na ninao wadai wanalipa bila kuulizwa.
Tulikuja kuachana kuona nampenda sana
 
Changamoto kwa sisi wenye hizi nyota za kung'arisha wengine,
Ni kwa kwamba wao hupata, lakini sisi hasa Mimi naambulia zero tu,

Nikikumbuka niliowachakata mafanikio waliyoyapata,
Kiuchumi, kuolewa na wenye uwezo nk acha tu.

Je Kuna namna ya kufanya Ili nyota ininufaishe mwenyewe?
 
Back
Top Bottom