Ukiona mtu anaandika matusi na content ambazo hazieleweki fanya hivi.

Ukiona mtu anaandika matusi na content ambazo hazieleweki fanya hivi.

Ukikutana na Contents ambazo hazieleweki Fanya hivi

Angalia huyo anayeandika amejiunga lini JF ukikuta ni 2020-2024 usiangaike kumjibu

Hao ni vijana wa Facebook

Hapa JF kuna I'd moja ya mkongwe ambaye hataki kukua kiufahamu anajiita po po ma
Na wewe ni kijana wa Fb? huyo unae mdharau kuna wakati anamadini sana kuliko hata wewe.
 
Na wewe ni kijana wa Fb? huyo unae mdharau juna wakati anamadini sana kuliko hata wewe.
huyu anamchokoza popoma GENTAMYCINE ila kweli Genta hana madini nyuzi zake za kikuda sana kwa siku ananzisha nyuzi zaidi ya 20 na zote ana andika pumba tu maudhui yanayofanana yeye anabadilisha maneno tu alafu anawaona wenzie wote hamnazo.!
 
huyu anamchokoza popoma GENTAMYCINE ila kweli Genta hana madini nyuzi zake za kikuda sana kwa siku ananzisha nyuzi zaidi ya 20 na zote ana andika pumba tu maudhui yanayofanana yeye anabadilisha maneno tu alafu anawaona wenzie wote hamnazo.!
Joined 2024 dah...
 
Nini hiki aisee dunia imeisha
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
 
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
Sawa mimi Sina hela naomba nionyeshe Salio lako kwenye account Yako yeyote tu kama hili Ili nikuamini wewe unapesa
 

Attachments

  • Screenshot_20241011-115907.jpg
    Screenshot_20241011-115907.jpg
    100.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom