Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ili spika awe ameongea ni lazima awe kwenye joho lake, awe bungeni, kuwepo na kawa, maongezi yawekwe kwenye kumbukumbu za bunge.Wakati anakaribishwa alitambulika kama nani ni mwananchi wa kongwa au spika.
Rais Samia kajifunza uungwana pote alipopita mpaka kuwa kiongozi mkuu wa Tanzania. Hawa enzi za JPM wasingeropoka haya wanayoropoka leo hii.UKIWA KIONGOZI WA UMMA CHUNGA NDIMI YAKO USIJE KUWA KITUKO KWA MANENO YAKO
Na Unoko ni Uzalendo
Ukiona mtu anaweweseka kwa sauti serikali kukopa muulize je yeye hana mkopo na kama anao Bondi ya huo mkopo ameiweka serikali au mali zake binafsi?
Kuna wakati tusijifanye tuna uzalendo wa hii Nchi kuliko Watanzania wengine. Serikali kukopa kwa ajili ya Maendeleo yetu Watanzania hakuna shida tena Serikali ya Awamu ya Sita inakopa kwa Uwazi sana na kwenda mbali kusema hizo fedha zinakwenda kwenye shughuli gani za Maendeleo.
Nani asiyejua asilimia 98 ya Wabunge wana mikopo na dhamana ni serikali hata huyo Spika Ndugani inawezekana ana mkopo mkubwa katika benki za hapa kwetu lakini ameogopa kuweka dhamana hata sturi ya sebreni kwake ameiweka Serikali.
Arafu anakuja Mbele ya Umma kujifanya Serikali kukopa sio sawa wakati anaona yanayofanyika katika fedha hizo. Jimboni kwake Mashule, Hospitali na Barabara zimejengwa KONGWA hata hiko kipande cha Reli ya SGR kinapita Jimboni kwake..!!
Tuache serikali ya Awamu ya Sita (6) ifanyeshughuli zake za Maendeleo kwa Watanzania maana Watanzania wameonyesha imani kubwa kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hivyo asitokee Mtu yoyote kwa maslahi yake binafsi kukwamisha Juhudi za serikali kuwaletea Maendeleo Watanzania.
View attachment 2061436
Ukishamuiliza hivyo muulze Tena anautumiaje, je anautumia ipasavyo!???UKIWA KIONGOZI WA UMMA CHUNGA NDIMI YAKO USIJE KUWA KITUKO KWA MANENO YAKO
Na Unoko ni Uzalendo
Ukiona mtu anaweweseka kwa sauti serikali kukopa muulize je yeye hana mkopo na kama anao Bondi ya huo mkopo ameiweka serikali au mali zake binafsi?
Kuna wakati tusijifanye tuna uzalendo wa hii Nchi kuliko Watanzania wengine. Serikali kukopa kwa ajili ya Maendeleo yetu Watanzania hakuna shida tena Serikali ya Awamu ya Sita inakopa kwa Uwazi sana na kwenda mbali kusema hizo fedha zinakwenda kwenye shughuli gani za Maendeleo.
Nani asiyejua asilimia 98 ya Wabunge wana mikopo na dhamana ni serikali hata huyo Spika Ndugani inawezekana ana mkopo mkubwa katika benki za hapa kwetu lakini ameogopa kuweka dhamana hata sturi ya sebreni kwake ameiweka Serikali.
Arafu anakuja Mbele ya Umma kujifanya Serikali kukopa sio sawa wakati anaona yanayofanyika katika fedha hizo. Jimboni kwake Mashule, Hospitali na Barabara zimejengwa KONGWA hata hiko kipande cha Reli ya SGR kinapita Jimboni kwake..!!
Tuache serikali ya Awamu ya Sita (6) ifanyeshughuli zake za Maendeleo kwa Watanzania maana Watanzania wameonyesha imani kubwa kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hivyo asitokee Mtu yoyote kwa maslahi yake binafsi kukwamisha Juhudi za serikali kuwaletea Maendeleo Watanzania.
View attachment 2061436