Ukiona mtu anayeamini kuwa yeye ndo ana akili peke yake muogope kama ukoma

Ukiona mtu anayeamini kuwa yeye ndo ana akili peke yake muogope kama ukoma

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nimekuwa nikimsikia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia Feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia Nape eti siyo size yake na kuna siku alimwambia Zitto eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
 
Nimekuwa nikimsilia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia nape eti siyo size yake na Kuna siku alimwambia zito eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
Bandari ni muhimu acha siasa.
 
Nimekuwa nikimsilia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia nape eti siyo size yake na Kuna siku alimwambia zito eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
Wanaoambiwa wajibu wenyewe!; sidhani kama wamekutuma!
Au umejiajiri kama chawa???
 
Nimekuwa nikimsilia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia nape eti siyo size yake na Kuna siku alimwambia zito eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
Kwa hiyo shida yako ni nini hapo?! Jibuni hoja zake acheni kurukaruka.
 
ni kweli inawezekana hao sio saizi yake, wapo size yake bado hawajajitokeza.

Hata mimi nakubaliana naye hao sio size yake, tutafute size yake.
 
Slaa anaona size yake ni Pengo Tu ..ndie anaemsikiliza...
Pengo kesho akisema mkataba hauna shida acheni kelele..
Na Slaa ataufyata kama sio yeye
Weka ushahidi wa haya uliyoandika. Dkt Slaa hajawahi kushikiwa akili kama nyie
 
Nimekuwa nikimsilia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia nape eti siyo size yake na Kuna siku alimwambia zito eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
Kwenye issue ya Bandari hatushindani kwa size,bali tunashindana kwa hoja, kwa hiyo wwe sikiliza hoja za pande zote mbili alafu changanya na zako kisha fanya maamuzi yako!!
 
Nimekuwa nikimsilia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia nape eti siyo size yake na Kuna siku alimwambia zito eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
Katika yote aliyoongea hiyo ndio point pekee ambayo ubongo wako ume/uliweza kunasa??
 
Nimekuwa nikimsilia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia nape eti siyo size yake na Kuna siku alimwambia zito eti siyo size yake.

Amebskisha kumwambia Mungu tu kwamba siyo size yake.
Watu wa hivyo Huwa ni Washenzi na madikteta ,msithubutu kuwapa nafasi za Uongozi mtajuta.
 
Back
Top Bottom