MZEE WA USSOKE
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 120
- 42
Habari ya Jumatatu wazalendo wenzangu
Kumekucha na makucha yake,macho na masikio ni kwa wajumbe wa bunge la katiba wanaokula pesa zetu bure.
Jambo lililonifanya niandike ninachokiandika ni kitendo cha mtu mzima Ole Sendeka kulia,swali langu ni
Kweli mtu huyu anauchungu na Taifa hili kuliko watu wote?
Nadhani kuna kitu kimejificha nyuma yake.na amekubali kutumika ili wengine waliomtuma waonekane smart mbele ya watanzania.
nilichogundua ni kuwa kuna wabunge wa CCM na wabunge wa wanachi kupitia ccm.na sasa tutaona wabunge wa wananchi ni akina nani na wabunge wa ccm kama ole sendeka ni nani na nani.
Yetu macho na masikio.kama Mungu yupo upande wetu nani atakuwa kinyume nasi.
"Nchi yote sauti moja"
Kumekucha na makucha yake,macho na masikio ni kwa wajumbe wa bunge la katiba wanaokula pesa zetu bure.
Jambo lililonifanya niandike ninachokiandika ni kitendo cha mtu mzima Ole Sendeka kulia,swali langu ni
Kweli mtu huyu anauchungu na Taifa hili kuliko watu wote?
Nadhani kuna kitu kimejificha nyuma yake.na amekubali kutumika ili wengine waliomtuma waonekane smart mbele ya watanzania.
nilichogundua ni kuwa kuna wabunge wa CCM na wabunge wa wanachi kupitia ccm.na sasa tutaona wabunge wa wananchi ni akina nani na wabunge wa ccm kama ole sendeka ni nani na nani.
Yetu macho na masikio.kama Mungu yupo upande wetu nani atakuwa kinyume nasi.
"Nchi yote sauti moja"