Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
- Thread starter
-
- #21
mara 3 chache..
Kama hataki kumwacha mikono yake iwe
Kwenye box la condom ... awe anampa at
List ajipe moyo labda anafanya safe sex....
Baadaye.
Kwenye kitanda chake na mkewe?? Thats too much bana kwani hakuna nyumba za kulala wenyeji??? Mmhhh hiyo hapana aisee khaaaaaaaaaaaaaa
ningekuwa nimeshakufa!!
Daahhh! Kuna watu wavumilivu duniani humu, Mungu ndo anajua.
Huyo kweli hajielewi,mara tatu juu ya kitanda chake na bado hatoi talaka.
Mi nikimkuta hata nyuma ya choo kaegeshwa juu kwa juu nampa talaka yake.
hii inanikumbusha sred ya babu kwa yule jamaa aliyeulizwa na mpenzi wake kuwa ALIKUWA WAP..?
Kama bado anampenda aendelee nae na asahau ila aongeze madowido akiwa ndani ya 18 na atashangaa mke wake akimuuliza ULIKUWAGA WAPI..?
kwa hali halisi huyu porter alikuwa hamfikishi mwenzie kibo/mawenzi sasa muongozwaji akaamua kutafuta njia mbadala ili afike kibo.
Nampa pole
malipo yake yapo Mungu atusamehe kwakweli
Mi nashangaa maji yanapanda mlimaKwenye kitanda chake na mkewe?? Thats too much bana kwani hakuna nyumba za kulala wenyeji??? Mmhhh hiyo hapana aisee khaaaaaaaaaaaaaa
Anasubiri nini kitokee ndo amwache????
Tell him achukue vyake aondoke atafute nyumba akaishi kwa amani.
huyo mke ni balaaaaaaaaaaa
mapenzi yangu