Ukiona Mtu mzima analia, ujue yamemkuta

Ukiona Mtu mzima analia, ujue yamemkuta

Kama hataki kumwacha mikono yake iwe
Kwenye box la condom ... awe anampa at
List ajipe moyo labda anafanya safe sex....
Baadaye.

Na wewe bibie kumbe ua ushauri ka wa Rose?.....nitamwambia nisikie atajibu vipi.....
 
Huyo kweli hajielewi,mara tatu juu ya kitanda chake na bado hatoi talaka.
Mi nikimkuta hata nyuma ya choo kaegeshwa juu kwa juu nampa talaka yake.
 
hii inanikumbusha sred ya babu kwa yule jamaa aliyeulizwa na mpenzi wake kuwa ALIKUWA WAP..?

Kama bado anampenda aendelee nae na asahau ila aongeze madowido akiwa ndani ya 18 na atashangaa mke wake akimuuliza ULIKUWAGA WAPI..?

kwa hali halisi huyu porter alikuwa hamfikishi mwenzie kibo/mawenzi sasa muongozwaji akaamua kutafuta njia mbadala ili afike kibo.

Nampa pole
 
Kwenye kitanda chake na mkewe?? Thats too much bana kwani hakuna nyumba za kulala wenyeji??? Mmhhh hiyo hapana aisee khaaaaaaaaaaaaaa

nyumba ya mwanamke hiyo, za wenyeji za kumwaga tu, mwanamke sijui jeuri ana nyumba sijui nini mie hata sijui....
 
Daahhh! Kuna watu wavumilivu duniani humu, Mungu ndo anajua.

huyu mtu ni mmoja wao aieseeeeeee....amejitahidi kuvumilia na bado anavumilia....kukaa nyumba ya mwanamke ndo hii sasa...........
 
Huyo kweli hajielewi,mara tatu juu ya kitanda chake na bado hatoi talaka.
Mi nikimkuta hata nyuma ya choo kaegeshwa juu kwa juu nampa talaka yake.

mkuu hahaha umenichekesha kinoma....juu juu tu ana yake hahaha...soon nakuja huko Rusia mzee nitakuwa hapo Lumumba kwa wanafunzi hahaha....nitaanzia ukraine kwa watoto wa bia mbili tu then huko.....ila duh naogopa ma skinhead...
 
hii inanikumbusha sred ya babu kwa yule jamaa aliyeulizwa na mpenzi wake kuwa ALIKUWA WAP..?

Kama bado anampenda aendelee nae na asahau ila aongeze madowido akiwa ndani ya 18 na atashangaa mke wake akimuuliza ULIKUWAGA WAPI..?

kwa hali halisi huyu porter alikuwa hamfikishi mwenzie kibo/mawenzi sasa muongozwaji akaamua kutafuta njia mbadala ili afike kibo.

Nampa pole

Eti eeeeehhhh itabidi nimtafute Babu anipe, huenda kweli jamaa yuko wapi....
 
Kwenye kitanda chake na mkewe?? Thats too much bana kwani hakuna nyumba za kulala wenyeji??? Mmhhh hiyo hapana aisee khaaaaaaaaaaaaaa
Mi nashangaa maji yanapanda mlima
 
Anasubiri nini kitokee ndo amwache????
Tell him achukue vyake aondoke atafute nyumba akaishi kwa amani.
huyo mke ni balaaaaaaaaaaa

mapenzi yangu
 
Nashauri mshikaji aache kulia na kuhesabu mara ngapi mkewe ka-cheat na badala yake akae chini na atumie mkono wa kulia kuhesabu vidole vya mkono wa kushoto akikumbuka ni mara ngapi yeye mwenyewe ame-cheat. Vidole vitano vya mkono wa kushoto vikiisha ahesabu vya mkono wa kulia vikiisha hajamaliza aende vya miguuuni akiona hesabu inaendelea atabasamu na kumfuata mkewe. Ambusu na kumbwambia maadamu Jesus alisema tusamehe 7 X 70 (ambayo ni 490) basi ajue bado 487. Asipokuwa mwangalifu 487 zitaisha kabla hawajazeeka na itakuwa hasara yake (Mke) mwenyewe.
 
Mara 3 na bado yupo naye?huyo rafiki wako pimbi kweli.kama ameamua kuendelea naye mwambie awe anamwachia hela ya gesti
 
Mimi siwezi kuvumilia, yan 3 times ndani ya Master bedroom yangu? Huyo jamaa yako zoba, bila shaka ni mtoto wa mwisho kuzaliwa kwao!
 
huyo demu hana adabu kabisa, nyumbani kwako na mumeo unaleta mwanaume mwingine? hiyo kwangu hapana!!
 
Back
Top Bottom