Ukiona mtu wa hivi JF ujue anatafuta kiki

Mi nakusalimu tu mpenzi wangu,

Sina mengi sana kwa leo.

Tafadhali ukishapata jibu usisahau kuniPM.

Mwwwah kwa lips zetu kama kawa.....
 
Kama wewe ulivyowatag kwa kujikosha.
 
Ushawaita watu maprostitutes afu unazuga kijanja... acha zako we dogo.
Hahahahaaa huko sipo mkuu. We ndo umewatukana mimi simo... aisee watu wanajua kutumia fursa. yaani kuto malizia professional wewe ushaweka yako
 
Hahaha kwani Naantombe lina shida gani mkuu? Mbona jina zuri hivo? We ukija kumpa mtoto wako utaona maajabu
Ha ha ha ha Mama Mkwe hawezi kumuita mjukuu wake. Atadhani ni kudoo.

JPM Karudisha Balozi mmoja hivi kisa Jina kama lako, chezea JPM ata ww atakuswaga Kenya: Ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…