RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
- Thread starter
-
- #41
Upande wa "nakupenda pia" ndo upande wa mwanaume kamili, mwanaume kamili anapaswa awake kusudi lake na sio kuendekeza mapenzi.Sina uoga ila siyakubali tena maumivu ya hayo mavitu yenu ya kuitwa mapenzi, siku hizi nipo upande wa nakupenda pia.
Ndipo nilipo kwa sasa mkuu.Upande wa "nakupenda pia" ndo upande wa mwanaume kamili, mwanaume kamili anapaswa awake kusudi lake na sio kuendekeza mapenzi.
Maana yake nini?Kwa Miaka mingi niliyoishi hapa duniani Jana ndio nimejua maana halisi ya MLOKOLE
Love is a biurifo thing 🥰 ukimpata anayekupenda Kwa dhatiSina uoga ila siyakubali tena maumivu ya hayo mavitu yenu ya kuitwa mapenzi, siku hizi nipo upande wa nakupenda pia.
😅 mtego huo japo huwa inatokea. Yani pale unapoanza kuzama ndio mambo yanaanza kubadilika.Love is a biurifo thing 🥰 ukimpata anayekupenda Kwa dhati
Mlokole ni mtu yoyote asiejiendeleza akifikiri Yesu anakuja keshoMaana yake nini?
Alaumiwe sana huyo aliyekutenda aisee🤣😅 mtego huo japo huwa inatokea. Yani pale unapoanza kuzama ndio mambo yanaanza kubadilika.
Ku'mamake alaaniwe yeye na viazi vyakeUpo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.
Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.
Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.
Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.
Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.
Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Inauma sana aisee.Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.
Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.
Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.
Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.
Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.
Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Umefanya vizuri kufuta namba zake.Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.
Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.
Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.
Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.
Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.
Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
anastahili pongezi maana alinitoa ukungu, huenda uko mbeleni ningeendekeza unice guy ningenyooshwa vilivyo 😂Alaumiwe sana huyo aliyekutenda aisee🤣
Wanawake ni viumbe vya hisia. 90% ya matendo yao yanaendeshwa na hisia zao. Ndio maana watachukua hatua kila wakati kabla ya kufikiri na baada ya kusababisha uharibifu mwingi, watakuja kuomba msamaha ama kukurudia.
Lakini wanaume (Alphas) ni tofauti. Wanaume ni viumbe wenye akili timamu na wenye fikra makini. Wanaume hufikiria na kuthubutu matokeo ya vitendo vyao kabla ya kuendelea kutekeleza. Ndiyo maana Wanaume wa Ki-Alpha daima wanamiliki na kuchukua majukumu ya matendo yao.
Kwa hiyo, kwa sababu wanawake ni viumbe vya kihisia na hutenda kulingana na hisia zao, mara chache huficha tabia zao. Ukiwa mwanaume mwenye akili ya kupambanua haitachukua siku kujua tabia za mwanamke uliyempenda.
Ikiwa anakupenda, itaonyeshwa katika tabia yake. Wakati akiacha kukupenda, bado itaonyesha katika tabia yake.
Unahitaji tu kuwa mwangalifu na kuwa na akili ya utambuzi ili kuweza kuona bendera nyekundu na mabadiliko ya tabia yake. Unapogundua kwamba ameacha kukupenda, tafadhali achana naye. Usimsihi wala kumbembeleza kwa akili yako timamu. Wanaweza kuwa wakatili na hatari wakati wamepata mbadala wako na wanakuona kama kikwazo. Wakati huo hata ukilia machoni au machozi yako yamegeuka damu, hayatakurupuka, hao ni wanawake, wanajua wanachokifanya. Kisha, dhabihu zako zote zitakuwa si kitu kwake. Hakika atasahau kuwa ulitoa figo yako kuokoa maisha yake, uliacha shule ili aendelee, ulishinda njaa ili kumlisha, ulikuwa huna makazi ili apate hifadhi na sadaka nyingine nyingi zisizohesabika ulizomtolea itakuwa moja kwa moja. kusahaulika. Tayari ameweka mawazo yake kwa mpenzi mpya ambaye ni wazi kuwa ni mbadala wako na hakuna unachoweza kufanya kuhusu hilo. Wanaume wapendwa, hypergamy ni kweli. Kuwa na busara ya kutosha kutojitolea zaidi ya unavyoweza kusahau kwa urahisi na kuendelea. Washa Alfa ndani yako wakati wowote unapoingia kwenye uhusiano. Usiingie katika mahusiano kama unaona hauko tayari kuachana naye akivuka mipaka.
Jifunze au uangamie.
Hapo safi mkuu.Hapana tumebaki kuwa wazazi,tunashirikiana vyema kwenye malezi ya watoto tuliobarikiwa.
Aisee mwanamke akiacha kukupenda na akapenda mchepuko, wanakuwaga wakatili mno.
HongeraUpo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.
Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.
Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.
Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.
Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.
Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Walishona hadi sare ya kitenge