Ukiona mwanamke kaacha kukupenda, achana naye kabla hujaachwa

Ukiona mwanamke kaacha kukupenda, achana naye kabla hujaachwa

Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.

Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.

Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.

Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.

Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.

Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
 
Mapenzi hayashauriwi, wenye maamuzi magumu kwenye mahusiano ni watu exceptional, si kila mtu anaweza ni wachache sana.
Watu wengi wanajifunza kuhusu mahusiano kupitia matukio halisi wanayokutana nayo.

Unajifunza through experience or by making mistakes, that's it.

But through learning the hard way ndipo wengine afya ya akili haipo sawa ndipo kuumizana na kuuana, kutokuamini mwanaume/mwanamke, ulevi n.k.

Kama Adam alishindwa hadi kuzingatia maagizo aliyopewa na MUNGU, akamsikiliza mwanamke, hii kitaalamu tunaitaje? na shetani alivyo na akili huwa anafahamu sisi wanaume dawa yetu ni wanawake.
 
Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.

Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.

Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.

Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.

Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.

Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Ku'mamake alaaniwe yeye na viazi vyake
 
Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.

Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.

Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.

Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.

Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.

Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Inauma sana aisee.
 
Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.

Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.

Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.

Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.

Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.

Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Umefanya vizuri kufuta namba zake.
Mwanamke akikuomba space, ni kwamba amempata mbadala wako ila bado haamini kama jamaa anampenda , so anaplay safety net kwamba mambo yakigoma anarudi kwako.
Usimrudie huyo mpumbavu. Afadhali umepona.
 
Wanawake ni viumbe vya hisia. 90% ya matendo yao yanaendeshwa na hisia zao. Ndio maana watachukua hatua kila wakati kabla ya kufikiri na baada ya kusababisha uharibifu mwingi, watakuja kuomba msamaha ama kukurudia.

Lakini wanaume (Alphas) ni tofauti. Wanaume ni viumbe wenye akili timamu na wenye fikra makini. Wanaume hufikiria na kuthubutu matokeo ya vitendo vyao kabla ya kuendelea kutekeleza. Ndiyo maana Wanaume wa Ki-Alpha daima wanamiliki na kuchukua majukumu ya matendo yao.

Kwa hiyo, kwa sababu wanawake ni viumbe vya kihisia na hutenda kulingana na hisia zao, mara chache huficha tabia zao. Ukiwa mwanaume mwenye akili ya kupambanua haitachukua siku kujua tabia za mwanamke uliyempenda.

Ikiwa anakupenda, itaonyeshwa katika tabia yake. Wakati akiacha kukupenda, bado itaonyesha katika tabia yake.

Unahitaji tu kuwa mwangalifu na kuwa na akili ya utambuzi ili kuweza kuona bendera nyekundu na mabadiliko ya tabia yake. Unapogundua kwamba ameacha kukupenda, tafadhali achana naye. Usimsihi wala kumbembeleza kwa akili yako timamu. Wanaweza kuwa wakatili na hatari wakati wamepata mbadala wako na wanakuona kama kikwazo. Wakati huo hata ukilia machoni au machozi yako yamegeuka damu, hayatakurupuka, hao ni wanawake, wanajua wanachokifanya. Kisha, dhabihu zako zote zitakuwa si kitu kwake. Hakika atasahau kuwa ulitoa figo yako kuokoa maisha yake, uliacha shule ili aendelee, ulishinda njaa ili kumlisha, ulikuwa huna makazi ili apate hifadhi na sadaka nyingine nyingi zisizohesabika ulizomtolea itakuwa moja kwa moja. kusahaulika. Tayari ameweka mawazo yake kwa mpenzi mpya ambaye ni wazi kuwa ni mbadala wako na hakuna unachoweza kufanya kuhusu hilo. Wanaume wapendwa, hypergamy ni kweli. Kuwa na busara ya kutosha kutojitolea zaidi ya unavyoweza kusahau kwa urahisi na kuendelea. Washa Alfa ndani yako wakati wowote unapoingia kwenye uhusiano. Usiingie katika mahusiano kama unaona hauko tayari kuachana naye akivuka mipaka.

Jifunze au uangamie.
1717878895706.png
 
Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.

Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.

Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.

Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.

Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.

Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Hongera
 
Back
Top Bottom