Hiyo red hapo ni tofauti kabisa na hoja yako...Hata Yesu na Mohamed walijaribiwa ili kushinda majaribu ya shetani.Turudi kwenye mada ninaposema Mwepesi mwepesi namaanisha yaani mlaini laini ndio maana anafunga profile lake huyu hana tofauti na mwanamke ambaye umemuoa unaishi naye then analock kwa password simu yake
ha ha ha mkuu asprin wala sijakosea bali nimeweka kama msisitizo mwishoniHiyo red hapo ni tofauti kabisa na hoja yako...
Anayefunga PM ni mwanamke asiyependa spotispoti lakini anayeweka password ni anayependa spotispoti ndio maana ameiweka ili mmewe asiuone mchezo wake.
Siku nyingine kabla hujaanzisha thread uniPM ili nikupe ushauri... maana kwa dizaini hii watakucheka watu.
Akuone umpe ushauri, kwani kichwa chako ni standard ya ufahamu?Hiyo red hapo ni tofauti kabisa na hoja yako...
Anayefunga PM ni mwanamke asiyependa spotispoti lakini anayeweka password ni anayependa spotispoti ndio maana ameiweka ili mmewe asiuone mchezo wake.
Siku nyingine kabla hujaanzisha thread uniPM ili nikupe ushauri... maana kwa dizaini hii watakucheka watu.
Basi sawa kwa maana imeandikwa: PESA HAITAFUTWI UKIWA UMELALA KITANDANIha ha ha mkuu asprin wala sijakosea bali nimeweka kama msisitizo mwishoni
You can say that again...Akuone umpe ushauri, kwani kichwa chako ni standard ya ufahamu?
Already said, its repetition will be worthless.You can say that again...
Good!!!Already said, its repetition will be worthless.
Interesting...Si tulishakubaliana humu tuache hizi attacks?
mara wanawake wa kichaga
mara wa JF
mara wanaume wa Dar....
hamjifunzi kitu?
hata akiwa mwepesi so what?