Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wakuu Kwema!!
Taikon sina mengi. Leo ni haya tuu.
1. Ukiona unafundishwa namna ya kuishi na Mumeo au Mkeo, basi jua unatatizo la msingi.
2. Ukiona unafundishwa namna ya kuweka akiba, jua unatatizo la msingi.
3. Ukiona unafundishwa namna ya kutafuta Utajiri, Jua unatatizo la Msingi.
4. Ukiona unafundishwa namna ya kumtafuta Mungu, jua unatatizo la msingi.
5. Ukiona unafundishwa namna ya kuwalea watoto wako WA kuwazaa, jua unatatizo la Msingi Sana.
6. Ukiona unafundishwa namna ya kuyatunza mazingira unavyoishi, sijui mahali pakuhifadhia kinyesi, sijui mahali pakulala, Jua unatatizo la msingi.
7. Ukiona unafundishwa style za chumbani ukiwa na Mwenza wako, ujue unatatizo la msingi Sana.
8. Ukiona unataka kufundishwa namna ya kupata vitu uvipendavyo, Jua unatatizo la msingi.
9. Ukiona unamtegemea Mchungaji ati ndio akuombee Kwa Mungu, jua unatatizo la msingi kuliko unavyotegemea.
10. Ukiona unafundishwa namna ya kuzungumza, jua unatatizo la Msingi.
Mambo mengine haupaswi kufundishwa.
Hata mnyama hawezi kufundishwa Mambo hayo.
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Taikon sina mengi. Leo ni haya tuu.
1. Ukiona unafundishwa namna ya kuishi na Mumeo au Mkeo, basi jua unatatizo la msingi.
2. Ukiona unafundishwa namna ya kuweka akiba, jua unatatizo la msingi.
3. Ukiona unafundishwa namna ya kutafuta Utajiri, Jua unatatizo la Msingi.
4. Ukiona unafundishwa namna ya kumtafuta Mungu, jua unatatizo la msingi.
5. Ukiona unafundishwa namna ya kuwalea watoto wako WA kuwazaa, jua unatatizo la Msingi Sana.
6. Ukiona unafundishwa namna ya kuyatunza mazingira unavyoishi, sijui mahali pakuhifadhia kinyesi, sijui mahali pakulala, Jua unatatizo la msingi.
7. Ukiona unafundishwa style za chumbani ukiwa na Mwenza wako, ujue unatatizo la msingi Sana.
8. Ukiona unataka kufundishwa namna ya kupata vitu uvipendavyo, Jua unatatizo la msingi.
9. Ukiona unamtegemea Mchungaji ati ndio akuombee Kwa Mungu, jua unatatizo la msingi kuliko unavyotegemea.
10. Ukiona unafundishwa namna ya kuzungumza, jua unatatizo la Msingi.
Mambo mengine haupaswi kufundishwa.
Hata mnyama hawezi kufundishwa Mambo hayo.
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam