Ukiona unafundishwa mambo haya ujue unatatizo la msingi



Na nilichoandika ndio hiko
 
Nina tatizo la msingi, tena msingi wa zege.... Naomba kufundishwa namba 2.
Ahsante
 
Kwenye suala akiba nakuunga mkono mkuu.
Kuna watu utasikia kesho itajitegemea yy kila akipata anatapanya zote, kesho anaanza upya na full stress dahh hakika watu Kama Hawa wanahitaji kufundshwa mkuu
 
Namba 9 imewafanya watu wengi kuwa watumwa na wengi wao hawajui kuwa nabii wa maisha yako ni wewe mwnyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…