CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
kweli bongo nyoso yaani jamaa anaongelea biashara wewe unaleta ushoga sawa banaUshoga unavyopingwa namna hii ina maana wapo sahihi!!?kweli akili za kuambiwa changanya na zako
Sasa ushoga hapa unaingiaje na wewe??Ushoga unavyopingwa namna hii ina maana wapo sahihi!!?kweli akili za kuambiwa changanya na zako
Sija muelewa hata alicho coment, nazani ni.wale members wa Group la.sijui MMU kule ndo uwanja wake wa nyumbanikweli bongo nyoso yaani jamaa anaongelea biashara wewe unaleta ushoga sawa bana
sio bure huenda alikuwepo kwenye ule usaili wa TRA anasubiri majibuSasa ushoga hapa unaingiaje na wewe??
[emoji3] [emoji3] [emoji3]kweli bongo nyoso yaani jamaa anaongelea biashara wewe unaleta ushoga sawa bana
[emoji23] [emoji23]sio bure huenda alikuwepo kwenye ule usaili wa TRA anasubiri majibu
[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] wejamaa banaUshoga unavyopingwa namna hii ina maana wapo sahihi!!?kweli akili za kuambiwa changanya na zako
Watanzania huwa mnanifurahisha sanaUshoga unavyopingwa namna hii ina maana wapo sahihi!!?kweli akili za kuambiwa changanya na zako
naona mkuu we na Chidi Passo wale waleUshoga unavyopingwa namna hii ina maana wapo sahihi!!?kweli akili za kuambiwa changanya na zako
Ni vigumu sana watu kukuelewa wakati una tekeleza maono yako. ni vigumu sana tena mno.Watakuja kukuelewa baada sana.
Ndo maana mtu akija hata na wazo la kufuga panya ni vigumu kueleweka.
Watu huja kukuelewa baadae sana wanapo kuona katika Dunia nyingine hapo ndo watajiuliza kumbe yule jamaa huku ndo alikuwa anaenda?
Ukiona mtu anafurahia maono yako na kukuunga mkono jiulize mara 100 100.
Na ukiona unapingwa sana tena mno kwenye aidea yako basi kaza buti na songa mbele na wazo lako, hiki ni kipimo cha kwamba uko sahihi katika wazo lako.
Nimejifunza kitu. Nje ya wazo la biashara, hata siasa zetu za sasa ziko hivyo! Mtu akijitokeza kusema ukweli,atapingwa sana ila cha ajabu,baada ya muda mfupi,wazo la aliyepingwa sana ndiyo hufanyiwa kazi na aliyempinga! Likewise,kwenye bussiness ideas,kweli,umeona mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app