Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua, ebu jaribu kuhama hilo eneo

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua, ebu jaribu kuhama hilo eneo

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kuna aina ya mazao ambayo hauwezi kuyapanda katika Eneo fulani na yakakua na kustawi vizuri mfano hauwezi kupanda mpunga sehemu ambayo haina maji ya kutosha na ukakua na kustawi.
Kimantiki na kimaana
👇
Hivi ndivyo zilivyo ndoto zetu kuna baadhi ya maeneo kwako yanaweza kukufanya kushindwa kutimiza zile ndoto zako kubwa zilizopo ndani yako na kuendelea kubaki pale pale.

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua fahamu tu kile kitu Mungu amekuwekea ndani yako ni kikubwa sana na ili kionekane inabidi kuangalia aina ya mazingira yatakayoendana na ndoto zako.

Nimepata aya mafunuo baada ya kusoma kitabu cha Joel Osten "become a better you"
 
Kuna aina ya mazao ambayo hauwezi kuyapanda katika Eneo fulani na yakakua na kustawi vizuri mfano hauwezi kupanda mpunga sehemu ambayo aina maji ya kutosha na ukakua na kustawi.
Kimantiki na kimaana
👇
Hivi ndivyo zilivyo ndoto zetu kuna baadhi ya maeneo kwako yanaweza kukufanya kushindwa kutimiza zile ndoto zako kubwa zilizopo ndani yako na kuendelea kubaki pale pale.

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua fahamu tu kile kitu Mungu amekuwekea ndani yako ni kikubwa sana na ili kionekane inabidi kuangalia aina ya mazingira yatakayoendana na ndoto zako.

Nimepata haya mafunuo baada ya kusoma kitabu cha Joel Osten "become a better you"
Ujumbe murua!

Asante🙏

Hongera kwa kusoma kitabu kizuriâś…
 
Safi mkuu, yani kweli tupu, mfano ni mimi mwenyewe, kuna sehemu nilikaa takriban miaka sita katika utafutaji, lkn nimekutana na misukosuko ikiwemo kwenda jela takriban miezi kumi,, lkn baada ya kutoka nilibadilisha upepo na nashukuru mungu kwa sasa hali yangu kimaisha hali gani si marehemu, tofauti na kule nilikotoka japo kwa muda mchache tu, na nazidi kuuona mwanga Zaidi kadri siku zinavyokwenda,,
Kwa heshima na taadhima naomba niunge mkono hoja 🤝
 
hakika mkuu hata mm nawaza kuhama hii sehemu mwakan nkatafute chngmoto nyngne mahala pengne kabsa labda rizk zitafunguka
 
Kuna aina ya mazao ambayo hauwezi kuyapanda katika Eneo fulani na yakakua na kustawi vizuri mfano hauwezi kupanda mpunga sehemu ambayo aina maji ya kutosha na ukakua na kustawi.
Kimantiki na kimaana
👇
Hivi ndivyo zilivyo ndoto zetu kuna baadhi ya maeneo kwako yanaweza kukufanya kushindwa kutimiza zile ndoto zako kubwa zilizopo ndani yako na kuendelea kubaki pale pale.

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua fahamu tu kile kitu Mungu amekuwekea ndani yako ni kikubwa sana na ili kionekane inabidi kuangalia aina ya mazingira yatakayoendana na ndoto zako.

Nimepata haya mafunuo baada ya kusoma kitabu cha Joel Osten "become a better you"
Unaweza kutaka kuondoka ila taimingi hairuhusu mkuu.
 
Kuna aina ya mazao ambayo hauwezi kuyapanda katika Eneo fulani na yakakua na kustawi vizuri mfano hauwezi kupanda mpunga sehemu ambayo haina maji ya kutosha na ukakua na kustawi.
Kimantiki na kimaana
👇
Hivi ndivyo zilivyo ndoto zetu kuna baadhi ya maeneo kwako yanaweza kukufanya kushindwa kutimiza zile ndoto zako kubwa zilizopo ndani yako na kuendelea kubaki pale pale.

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua fahamu tu kile kitu Mungu amekuwekea ndani yako ni kikubwa sana na ili kionekane inabidi kuangalia aina ya mazingira yatakayoendana na ndoto zako.

Nimepata aya mafunuo baada ya kusoma kitabu cha Joel Osten "become a better you"
Wapalestina wote basi wahame Gaza.
 
Ila hautopata wachangiaji wengi hupenda nyuzi za mbususu
diabetes8-org.jpg
 
Safi mkuu, yani kweli tupu, mfano ni mimi mwenyewe, kuna sehemu nilikaa takriban miaka sita katika utafutaji, lkn nimekutana na misukosuko ikiwemo kwenda jela takriban miezi kumi,, lkn baada ya kutoka nilibadilisha upepo na nashukuru mungu kwa sasa hali yangu kimaisha hali gani si marehemu, tofauti na kule nilikotoka japo kwa muda mchache tu, na nazidi kuuona mwanga Zaidi kadri siku zinavyokwenda,,
Kwa heshima na taadhima naomba niunge mkono hoja 🤝
Pole pia hongera kwa Hatua uoiyopiga hakika lipo kusudio la wewe kuyapitia hayo.
 
Kama una uwezo kidogo tafuta kaeneo nje kidogo ya mji, Jenga hata vyumba viwili.
Utashangaa unafanya Mambo makubwa.
Kuna utulivu na muda wa kutosha kutafakari Mambo ya msingi ya maendeleo.
 
Back
Top Bottom