Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua, ebu jaribu kuhama hilo eneo

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua, ebu jaribu kuhama hilo eneo

Kama una uwezo kidogo tafuta kaeneo nje kidogo ya mji, Jenga hata vyumba viwili.
Utashangaa unafanya Mambo makubwa.
Kuna utulivu na muda wa kutosha kutafakari Mambo ya msingi ya maendeleo.
Waulize waliojenga Kerege wakupe ushuhuda, Wahindi siyo wajinga kuishi mjini.
 
Ni kweli..

Ardhi inaweza ikawa na agano la umasikini...
 
Kuna aina ya mazao ambayo hauwezi kuyapanda katika Eneo fulani na yakakua na kustawi vizuri mfano hauwezi kupanda mpunga sehemu ambayo haina maji ya kutosha na ukakua na kustawi.
Kimantiki na kimaana
[emoji116]
Hivi ndivyo zilivyo ndoto zetu kuna baadhi ya maeneo kwako yanaweza kukufanya kushindwa kutimiza zile ndoto zako kubwa zilizopo ndani yako na kuendelea kubaki pale pale.

Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua fahamu tu kile kitu Mungu amekuwekea ndani yako ni kikubwa sana na ili kionekane inabidi kuangalia aina ya mazingira yatakayoendana na ndoto zako.

Nimepata aya mafunuo baada ya kusoma kitabu cha Joel Osten "become a better you"
Kufanikiwa kiuchumi, sio Mambo ya abracadabra, ni sayansi, tupu,Malaysia, Dubai, china, USA, na South Afrika, hazikuendelea kwa bahati mbaya au bahati nasibu ya kuhama hama, watu walichangsnya sayansi, taarifa, tekinolojia, Mambo yakatokea.
Kama kukaa eneo kunazuia maendeleo, mbona Yale ma eneo ambayo wa Afrika hawaendelei, wakija wazungu, wanapiga Bao,
Siku tukiacha kuwa za kwamba, ili uendelee inabidi uende ukakanysge mafuta, au unywe maji ya Baraka, tutapiga hatua,
Ukienda chalinze, kuna kaya maskini na mafukara balaa, lakini, eneo Hilo Hilo, familia ya kikwete ina biashara na kilimo, kinachoingiza pesa hatari.
 
Back
Top Bottom