Ukiona upo eneo fulani ila haupigi hatua, ebu jaribu kuhama hilo eneo

Kama una uwezo kidogo tafuta kaeneo nje kidogo ya mji, Jenga hata vyumba viwili.
Utashangaa unafanya Mambo makubwa.
Kuna utulivu na muda wa kutosha kutafakari Mambo ya msingi ya maendeleo.
Waulize waliojenga Kerege wakupe ushuhuda, Wahindi siyo wajinga kuishi mjini.
 
Ni kweli..

Ardhi inaweza ikawa na agano la umasikini...
 
Kufanikiwa kiuchumi, sio Mambo ya abracadabra, ni sayansi, tupu,Malaysia, Dubai, china, USA, na South Afrika, hazikuendelea kwa bahati mbaya au bahati nasibu ya kuhama hama, watu walichangsnya sayansi, taarifa, tekinolojia, Mambo yakatokea.
Kama kukaa eneo kunazuia maendeleo, mbona Yale ma eneo ambayo wa Afrika hawaendelei, wakija wazungu, wanapiga Bao,
Siku tukiacha kuwa za kwamba, ili uendelee inabidi uende ukakanysge mafuta, au unywe maji ya Baraka, tutapiga hatua,
Ukienda chalinze, kuna kaya maskini na mafukara balaa, lakini, eneo Hilo Hilo, familia ya kikwete ina biashara na kilimo, kinachoingiza pesa hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…