Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh! Mungu saidia hii jinsia pesa..akikunyima vocha jua umeachwa
Mimi hela mpaka nitoe au kumpa mwanamke mimi mwenyewe, mwanamke akishaanza kuniomba hela tu, basi huyo kajipiga ban mwenyewe tena kwa kupenda kwani namblock ujumla. Ni ujinga mwanamke kujiingiza kwenye mahusiano na kutaka kuwa mzigo wa mtu ili awatunze ndugu na wazazi wake.Kabla ya kuachwa mara nyingi kunakua na vijitabia au viashiria ambavyo wenza wetu hutuonyesha ila kwa vile wanasema mapenzi ni upofu tunakua hatuvioni viashiria hivyo. Saa nyingine tunaviona viashiria vyote ila inakua ngumu kukubaliana na ukweli wa kuwa mwezangu anataka kuend uhusiano.
Kwa upande wangu nikitaka kuacha huwa sioneshi tabia yeyote mbaya ambayo mhusika atastukia. Nakua mpole mkimya kila anachosema anachofanya hata kama anakosea kwangu ni hewala tu simpingi kwa chochote.
Baada ya hapo kinachofatia ni kibuti cha kimya kimya alaf nampiga block sehem zote na hatoniona wala kunisikia tena. Na akiwa king'ang'anizi hapo ndo ataiona rangi yangu ambayo hakuwahi kuiona hata siku moja!
Wee una kiashiria chako chochote ukitaka kuacha?
Wengine wanakua wako bize kweli
Wengine wanakua wako bize kweli
Hivi bado kuna watu wanaandikiana meseji ndefu za kimahaba? 😂😂Ukishaona tu unaandika meseji ndefuu ya kimahaba alafu unajibiwa "Mi pia" jua tayari shetani yupo kazini.
Namzima juu kwa juu simjibu kitu.Ukikutana na king'ang'anizi we ukipunguza mawasiliano yeye anaongeza dozi
Kumbe kachawi 😔Nawaroga
Ee, maudhi ya wanadamu ndio yamenifikisha hapa.Kumbe kachawi [emoji17]
hujakutana na mamafia...utajutaHuwa siachwiii, mie huwa naacha tyuu. Lol
Usilipe baya kwa bayaEe, maudhi ya wanadamu ndio yamenifikisha hapa.
Hio ndio main signal 😂Ubusy wa ghafla wakati zamani hakua hivyo.
😂😂😂Kibongobongo ziko 3 Common.
1. Mawasiliano kupungua na sababu kubwa ni niko busy, nimechoka, niliwahi kulala.
2. Ku ignore simu zako, unaweza piga isipokelewe kwa wakati. Baadae haipokelewi kabisa na kuna nyakati utaikuta ipo busy haswa mida ya saa 3-4 ile ila wewe hupigiwi🤣
3.Excuses zinakuwa nyingi kama mlikuwa mnaonana frequently basi atakuwa anakosa muda wa kuja. My friend andaa kitaulo cha kufuta mchozi.