Ukiona vijitabia gani au viashiria gani ujue unakaribia kupigwa kibuti?

Ukiona vijitabia gani au viashiria gani ujue unakaribia kupigwa kibuti?

Kabla ya kuachwa mara nyingi kunakua na vijitabia au viashiria ambavyo wenza wetu hutuonyesha ila kwa vile wanasema mapenzi ni upofu tunakua hatuvioni viashiria hivyo. Saa nyingine tunaviona viashiria vyote ila inakua ngumu kukubaliana na ukweli wa kuwa mwezangu anataka kuend uhusiano.

Kwa upande wangu nikitaka kuacha huwa sioneshi tabia yeyote mbaya ambayo mhusika atastukia. Nakua mpole mkimya kila anachosema anachofanya hata kama anakosea kwangu ni hewala tu simpingi kwa chochote.

Baada ya hapo kinachofatia ni kibuti cha kimya kimya alaf nampiga block sehem zote na hatoniona wala kunisikia tena. Na akiwa king'ang'anizi hapo ndo ataiona rangi yangu ambayo hakuwahi kuiona hata siku moja!

Wee una kiashiria chako chochote ukitaka kuacha?
Mimi hela mpaka nitoe au kumpa mwanamke mimi mwenyewe, mwanamke akishaanza kuniomba hela tu, basi huyo kajipiga ban mwenyewe tena kwa kupenda kwani namblock ujumla. Ni ujinga mwanamke kujiingiza kwenye mahusiano na kutaka kuwa mzigo wa mtu ili awatunze ndugu na wazazi wake.
 

Attachments

  • 1556516150121.jpg
    1556516150121.jpg
    16.5 KB · Views: 2
Kibongobongo ziko 3 Common.

1. Mawasiliano kupungua na sababu kubwa ni niko busy, nimechoka, niliwahi kulala.

2. Ku ignore simu zako, unaweza piga isipokelewe kwa wakati. Baadae haipokelewi kabisa na kuna nyakati utaikuta ipo busy haswa mida ya saa 3-4 ile ila wewe hupigiwi🤣

3.Excuses zinakuwa nyingi kama mlikuwa mnaonana frequently basi atakuwa anakosa muda wa kuja. My friend andaa kitaulo cha kufuta mchozi.
 
Kibongobongo ziko 3 Common.

1. Mawasiliano kupungua na sababu kubwa ni niko busy, nimechoka, niliwahi kulala.

2. Ku ignore simu zako, unaweza piga isipokelewe kwa wakati. Baadae haipokelewi kabisa na kuna nyakati utaikuta ipo busy haswa mida ya saa 3-4 ile ila wewe hupigiwi🤣

3.Excuses zinakuwa nyingi kama mlikuwa mnaonana frequently basi atakuwa anakosa muda wa kuja. My friend andaa kitaulo cha kufuta mchozi.
😂😂😂
 
Back
Top Bottom