Labda Leo tuwaeleze kwa kifupi Sana.
Ukiona wewe ni mpinzani, au unajiita mpinzani kisiasa lakini Sisi WanaCCM tunakuunga mkono kwa maneno na vitendo basi fahamu wewe sio mpinzani wetu Bali ni rafiki yetu wa karibu.
Na ukiona wewe ni mpinzani na Sisi ccm hatukuungi mkono na tunakuchukia Sana na kusema vibaya juu yako fahamu wewe ndio mpinzani wa kweli.
Ukiona wewe ni mpinzani, au unajiita mpinzani kisiasa lakini Sisi WanaCCM tunakuunga mkono kwa maneno na vitendo basi fahamu wewe sio mpinzani wetu Bali ni rafiki yetu wa karibu.
Na ukiona wewe ni mpinzani na Sisi ccm hatukuungi mkono na tunakuchukia Sana na kusema vibaya juu yako fahamu wewe ndio mpinzani wa kweli.