Ukiona Yanga wanakimbilia kusaidia yatima ujue gemu yao imewakalia vibaya

Mikia hakuna kitu nyie msiumizwe vichwa. Mikia nawafananisha na ccm tu
 
Wewe ni mbulula
 
Kila mechi wanasaudia wasiojiweza
 
Kwani lazima kuwataja Yatima kwenye upuuzi wako?!
 
Hivi huyu mjinga aliwezaje kujiunga jf?
Uyo kweli mjinga😀😀ina maana haijui nguvu iliyopo kwenye kusaidia yatima na wajane? Hajui ata yeye akifanya ivyo atapata baraka? Na iyo ndo siri ya unbeaten za yanga, izo baraka upatikana ata bila kuagizwa na mganga kama anavyodai uyo kilaza wa simba
 
Dah argument zingine buana ni hatari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…