Hahahaha ndo hapo sasa unakuta packet ya condom imebaki moja mfukoni teh teh teh
Akina dada,mama, shangazi na bibi najua wote mna viburudisho vya kurusha navyo roho katika tunda la mema na mabaya....na mnavipenda kweli kweli maana mnasaidiana kwa kila kitu hata kungonoka.
Swali langu Je wewe mama au dada ukiona CONDOM mfukoni mwa suruali ya mmeo aidha wakati unafua au unapanga nguo chafu ikadondoka utafanyaje?
sitafanya kitu nitajua anajilinda anajali, ila roho itaniuma kimtindo, na kuanzia siku hiyo nitamwambia tutumie kinga ili akileta ubishi nipate jinsi ya kumpa vidonge vyake vizuri.
Hahahaha ndo hapo sasa unakuta packet ya condom imebaki moja mfukoni teh teh teh
ningekuwa mimi ningemuuliza kwanza matumizi yake
ilikuwa kwa mwanaume ama mwanamke...
akijibu mwanamke ntaangalia
induarance ya CONDOM kamaa ni mbofu mbofu nitamshauri aina nyingine badala ya kukimbilia za bei ya chin..
kabla ya kufikiria kumnunulia box za sheriiiiiii na beibei
Akina dada,mama, shangazi na bibi najua wote mna viburudisho vya kurusha navyo roho katika tunda la mema na mabaya....na mnavipenda kweli kweli maana mnasaidiana kwa kila kitu hata kungonoka.
Swali langu Je wewe mama au dada ukiona CONDOM mfukoni mwa suruali ya mmeo aidha wakati unafua au unapanga nguo chafu ikadondoka utafanyaje?
Niongezee hapo: Na nyie Wanaume mkikuta CONDOM za KIUME/KIKE kwenye mikoba ya wake/wapenzi wenu utafanyaje??