Ukiona zana mfukoni kwa mmeo utafanyaje?

Ukiona zana mfukoni kwa mmeo utafanyaje?

mi kuanzia siku hiyo ntamnunulia box zima ili asipate sana shida


hiyo ctafanya, aendelee kujinunua tu, na wala ctambeza kabisa, ctamuuliza lolote na nitajua amefanya makusudi mana lilitakiwa liwe makini japo linakula huko nje lakini nicjue jamani.
 
Hizo nyimbo nani kakufundisha? unataka kunigombanisha humu JF? mwenzio bifu sijalizoea.Labda uahidi kunilinda.

Niko radhi kufa kwa ajili yako. Ulinzi wa uhakika. Ushasahau kale ka msemo: Kama unampenda utamlinda.
 
Mwambie kabisa uko kwa ajiri ya Masanilo na si kila mtu!

hahahhaaaa,Na wewe asije akakusikia.Ugomvi mie mhhh,sijazoea.Kwanza kwa hizi mada zinazoendelea humu za mahusiano naona watu wengi wamepinda.Sometimes wale walio alone-single wana nafuu.
 
nitampongeza na kumwambia ahakikishe anazitumia sio mapambo tu. Ila nae akikuta kwangu asilalame
 
He: Wapwa Fidel + Nguli
She: Hahahaha! Lol! Utata: Lakini nadhani MJ1 na Nyamayao watafaa.
Hahahahah.MJ1 na Nyamayao nawaamia,Sina imani na wapwa zako.Na hizi kura itabidi ziwe 3 kwa 4.Vinginevyo ntakuwa sikuaminii.
 
nitampongeza na kumwambia ahakikishe anazitumia sio mapambo tu. Ila nae akikuta kwangu asilalame

Kula tano...! Kuna siku nilijisahau kuzitoa kwenye dashboard, mamsap katika pekua pekua akazikuta pale rough riders ...akaniuliza vipi tena hizi....nikawa mkali vijana wa garage hawa wajinga sana.....akaniambia inamaana wewe huwa hutumii ? Nikaishia kumwambia tuheshimiane, ila ujumbe ulinifikia!
 
Hahahahah.MJ1 na Nyamayao nawaamia,Sina imani na wapwa zako.Na hizi kura itabidi ziwe 3 kwa 4.Vinginevyo ntakuwa sikuaminii.

Avumiliaye mpaka mwisho atauona ufalme wa Mbinguni. Sijakata tamaa bado. Sasa Chagua wewe.
 
jamani condom zinatumika katika kuzuwia ujauzito kwa watu walioko kwenye ndoa pia!
mzee nikimkuta nazo itabidi anipe maelezo, manake pengine kapita kwa dktari kaona njia hiyo ya uzazi wa mpangilio inafaa zaidi kuliko kuambiwa "leo siku mbaya"
 
kuna dada mmoja alikua anamwekea mumewe condom kwenye bag kila akisafairi, jamaa siku akamuuliza mkewe akamwambia wewe ni mwanaume na huko uendako unakutana na mademu kibao na tamaa inakuwepo, so ni bora nikuweke ili usije kufa kwa ngoma kuliko kujidai hufanyi, so jamaa mkewe yupo free ili kuepusha kuambukiza ukimwi

Wewe unapozitumia huko uendako, na mama nae anazitumia hapo ulipomwacha. Wote tungezingatia hilo, ukimwi ungebaki historia.
 
jamani condom zinatumika katika kuzuwia ujauzito kwa watu walioko kwenye ndoa pia!
mzee nikimkuta nazo itabidi anipe maelezo, manake pengine kapita kwa dktari kaona njia hiyo ya uzazi wa mpangilio inafaa zaidi kuliko kuambiwa "leo siku mbaya"
Duh ,hii kali.sasa njia ya uzazi wa mpango si mnapanga wote wawili mtumie njia gani? au anakurupuka tu na kuleta kondomu ? hapo inaonyeshana mawasiliano ya hao wawili ni hafifu.
 
Kula tano...! Kuna siku nilijisahau kuzitoa kwenye dashboard, mamsap katika pekua pekua akazikuta pale rough riders ...akaniuliza vipi tena hizi....nikawa mkali vijana wa garage hawa wajinga sana.....akaniambia inamaana wewe huwa hutumii ? Nikaishia kumwambia tuheshimiane, ila ujumbe ulinifikia!

Mpwa una bahati huna mke wa mamsap wa aina ya Carmel au Nyamayao. Lol!
 
ZD...kwa bongo yetu wanandoa wenye mawasiliano mabovu mbona ndo wengi!
 
nitampongeza na kumwambia ahakikishe anazitumia sio mapambo tu. Ila nae akikuta kwangu asilalame

Shangazi..hapo ndo utashangaa maana kibao atakachokugeuzia utadhani yeye ni malaika - hapo hajakukuta na kitu umempa warning tu! Msome Chrispin alipojibu kuhusu kukuta C kwa mamaa..ndo utaelewa..
 
Back
Top Bottom