Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Kazi zao ni English language tu, hiyo ndiyo skill pekee wanayojifunza maishani mwao, hivyo ukiondoa English language, nchi yote inakuwa jobless, hata Mahakamani nimeona kwenye TV iligeuka darasa la English language badala ya ishu!
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...