Ok....umefurahi sasa?Kazi zao ni English language tu, hiyo ndiyo skill pekee wanayojifunza maishani mwao, hivyo ukiondoa English language, nchi yote inakuwa jobless, hata Mahakamani nimeona kwenye TV iligeuka darasa la English language badala ya ishu!
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...
Kazi zao ni English language tu, hiyo ndiyo skill pekee wanayojifunza maishani mwao, hivyo ukiondoa English language, nchi yote inakuwa jobless, hata Mahakamani nimeona kwenye TV iligeuka darasa la English language badala ya ishu!
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...
ndugu utamuumiza Barbarosa kwa matamshi hayaTuseme ukweli , wanaentreprenuarship skills znuri.Hata machinga wakule wako vizuri siyo kama hapa kwetu.Mji waNairobi uko maratatu au nne ya Dar kwa Barabara, Usafi,majengo na Biashara za uhakika.Wakiendelea hivi watafika mbali. Kwakweli wanajitahidi sana
Usiwafananishe wakenya na ww MTU wa chato, nadhani huwajui ila unaskia tu storKazi zao ni English language tu, hiyo ndiyo skill pekee wanayojifunza maishani mwao, hivyo ukiondoa English language, nchi yote inakuwa jobless, hata Mahakamani nimeona kwenye TV iligeuka darasa la English language badala ya ishu!
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...
Pamoja na hayo wanatupiga sana kiuchumiKazi zao ni English language tu, hiyo ndiyo skill pekee wanayojifunza maishani mwao, hivyo ukiondoa English language, nchi yote inakuwa jobless, hata Mahakamani nimeona kwenye TV iligeuka darasa la English language badala ya ishu!
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...
Usitumie nguvu nyingi kumjibu, huyu anaugonjwa flani wa rangi ya kijani...nadhani utanielewasasa baada ya kufungua thread hii umepata chakula cha jioni sio?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]sasa baada ya kufungua thread hii umepata chakula cha jioni sio?