Ukiondoa Wazungu na Wahindi GDP ya Kenya inasinyaa kwa 85%!

Ukiondoa Wazungu na Wahindi GDP ya Kenya inasinyaa kwa 85%!

Lazima uko na minyoo


Wewe una funza miguuni, by the way nasikia funza wa Kenya wanaingia mpaka kwenye Ubongo, Je ni kweli? Nimesikia kuna watu wanakufa kwa sababu ya kushambuliwa na Funza, nilishangaa sana sikujua Funza wanaweza kuuwa!
 
Kuna atakayebisha hapo, kwamba kama ukisema (kinadharia) Wazungu na Wahindi siyo Wakenya na kwamba uwaondoe kwenye equation, Uchumi wa Kenya utabakia Maziwa ya Uhuru Kenya tu, utakuwa sawa na Lesotho kwa ukubwa, ...
You are sick. A Kenyan to you must be black na pia watanzia. Hapo waarabu na rangi zingine tanzania ni wanyama porini. Pathetically sick!
 
Kuna atakayebisha hapo, kwamba kama ukisema (kinadharia) Wazungu na Wahindi siyo Wakenya na kwamba uwaondoe kwenye equation, Uchumi wa Kenya utabakia Maziwa ya Uhuru Kenya tu, utakuwa sawa na Lesotho kwa ukubwa, ...

Lakini ukiangalia kwenye takwimu za dunia Kenya ndiyo nchi inayoendelea katika nchi zote za Africa Mashariki na kati(Kenya is the only country marked as Developing country) zote ni under developed countries(masikini)!
 
Lakini ukiangalia kwenye takwimu za dunia Kenya ndiyo nchi inayoendelea katika nchi zote za Africa Mashariki na kati(Kenya is the only country marked as Developing country) zote ni under developed countries(masikini)!


Hivyo ukiindoa Wahindi na Wazungu Kenya itakuwa sawa na Burundi!
 
Back
Top Bottom