Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,633
Marafiki wawili*(Elias na Ben)* walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.
Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:
*Ben:* Muone yule mrembo amenirushia busu
*Elias:* tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..
_(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)_
*Ben:* yule mwanamke ameniita!
*Elias:* Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.
*Ben:* Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu
*Elias:* Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kule _(akihisi kutotiliwa maanani)_
_(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini)_ .. [emoji344][emoji344]
*Lady:* _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!
*Ben:* Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!
*Lady:* Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo
(akimuonyesha rundo la nguo)
_(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile).
_(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)_
*Ben:* Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???
*Elias:* Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha, *Nilizifua Mimi Juzi!!*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*When an experienced person speaks ... [emoji1415]you must listen..!*
Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:
*Ben:* Muone yule mrembo amenirushia busu
*Elias:* tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..
_(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)_
*Ben:* yule mwanamke ameniita!
*Elias:* Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.
*Ben:* Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu
*Elias:* Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kule _(akihisi kutotiliwa maanani)_
_(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini)_ .. [emoji344][emoji344]
*Lady:* _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!
*Ben:* Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!
*Lady:* Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo
(akimuonyesha rundo la nguo)
_(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile).
_(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)_
*Ben:* Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???
*Elias:* Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha, *Nilizifua Mimi Juzi!!*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*When an experienced person speaks ... [emoji1415]you must listen..!*