Ukipata fursa ya kukutana na Mshana Jr utamueleza nini?

Wakuu naomba mniunganishe ktk hiyo Safari ya Mbingu Morogoro kwani naamini nitapatapa kujifunza na kufanya jambo flani la maendeleo huko. Sijajua kwa mtu akitaka kupeleka Mashine ya kukoboa mpunga kama inalipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…