😂😂😂😂Taja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
Taja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
😆😆😆 Qmmke WalahTaja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
Ajira sio ajilamfumo wa ajila
Mhhh sio mpaka ukipata cheque number ndio inakuwa hiviKwa mfumo wa kipindi hiki ni tofauti na zamani.
Ukishaingia kwenye mfumo wa ajila na usipoenda unakuwa pending miaka yote.
Ukiomba tu kazi Tena jina lako linaonekana ulishaajiliwa
Pole mkuu naona umepanikiTaja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
😄Ajira sio ajila
😅😅😅HahahTaja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
Watu wamechoka sana [emoji23][emoji23][emoji23]Taja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
Mtoto wa kike huyo msamehe bhanaTaja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
Ninachokiwaza kuwa baada tu ya kuona umepata placement lakini ukaamua kuandika barua kuwa hutoweza kwenda kufanya kazi kabla hata ya kupata hiyo cheque number. Maana cheque number mpk ufate kamrorongo flani ndio uipataMhhh sio mpaka ukipata cheque number ndio inakuwa hivi
Hahaha umetishaTaja sababu kwanza usitupe mafumbo ya kifala kmmke watu wako mtaani mwaka wa 10 huu halafu wewe unatuletea mambo ya kisengerema
Analeta comedy kwenye maisha ya watu.Watu wamechoka sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Anazingua.et upate kaz afuache kwenda..watu wamechokaa mtaani,Analeta comedy kwenye maisha ya watu.
Nmeshuhudia watu wanaacha KAZI taasisi A, na kuuyanga mtaani na wanarudi kuomba KAZI serikalini na wanapata Tena.Wapendwa habari zenu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Wanajamvi hivi ikitokea umepata kazi lakini kwasababu fulani ukahitaji kutokwenda kazini. Je ni hatua gani unatakiwa kuzifuata ili uwe salama hata baadae utakapoomba kazi serikali uwe eligible kupata kazi?
Usiende kuchukua barua PSRS, nafasi yako itajazwa na mtu mwingine baada ya muda flani.Wapendwa habari zenu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Wanajamvi hivi ikitokea umepata kazi lakini kwasababu fulani ukahitaji kutokwenda kazini. Je ni hatua gani unatakiwa kuzifuata ili uwe salama hata baadae utakapoomba kazi serikali uwe eligible kupata kazi?
Wapendwa habari zenu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Wanajamvi hivi ikitokea umepata kazi lakini kwasababu fulani ukahitaji kutokwenda kazini. Je ni hatua gani unatakiwa kuzifuata ili uwe salama hata baadae utakapoomba kazi serikali uwe eligible kupata kazi?