Ukipata package kama hii utaifanyia nini?

Ukipata package kama hii utaifanyia nini?

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,319
Reaction score
3,097
photo_2025-02-14_08-20-12 (2).jpg
 
Ninewafuata kwenye website yao.

Hao Fastastore inavyoonekana ni kampuni la Tech ambalo wana hack packages za huduma mbalimbali za kulipia kwenye mitandao.
Screenshot_20250214-093533.png

Labda kwa mfano wewe ni content creator, unatumia Capcut ku-edit video zako. Sasa Capcut ipo Free na ipo Pro ya kulipia. Wao wanakupatia ya kulipoa kwa malipo madogo.
Screenshot_20250214-093541.png

Wanipe u-PR
 
Back
Top Bottom