Hao Fastastore inavyoonekana ni kampuni la Tech ambalo wana hack packages za huduma mbalimbali za kulipia kwenye mitandao.
Labda kwa mfano wewe ni content creator, unatumia Capcut ku-edit video zako. Sasa Capcut ipo Free na ipo Pro ya kulipia. Wao wanakupatia ya kulipoa kwa malipo madogo.
Wanipe u-PR