Ukipewa hela jiulize kwanza zimetoka wapi isije kuwa na malipo ya kuuzwa wewe mwenyewe

🤣🤣 huyu Hana tofauti na yule alievua nguo kule kariakoo..
 
S
Kabla ya sisi wana familia kukaa na kuuliza alieuza shamba, tunamroga kwanza ndio kikao kinafuatia.

Nasema tunakuroga. [emoji846]
Sasa si mtajiroga wenyewe Mkuu? Kama kula mmesha kula dhara la muuzaji ndo dhara la mrogaji ! Hahaaaaaa
 
S
Kabla ya sisi wana familia kukaa na kuuliza alieuza shamba, tunamroga kwanza ndio kikao kinafuatia.

Nasema tunakuroga.
Sasa si mtajiroga wenyewe mkuu kaa kula mmesha kula dhara la muuzaji ndo dhara la mrogaji ! Hahaaaaaa.
 
Huu nao uziiiii?
Si ulifaa uende kwa mshana kwenye uzi wa vituko mitandaoni
 
Huu nao uziiiii?
Si ulifaa uende kwa mshana kwenye uzi wa vituko mitandaoni
We kwa akili yako unaona hiki ni kituko- ndo uwezo wako umeishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…