Ukipewa timu ya AZAM utafanyaje ili angalau iwe kama TP Mazembe

swa

SWALI ZURI SANA.

Kwanza kabisa AZAM Watafute kocha mwenye profile kubwa sana kuliko AZAM na pia kocha mzuri (binafsi wachukue makocha kutoka nchi hizi mbili German na France. Sababu ni kwamba nimegundua makocha wa hizo nchi mbili wanawajua sana kuwatumia wachezaji wa kiafrica vizuri na mbinu za kiafrica wanazijua vizuri pili kocha aje kable ya msimu kuisha yaani zimebaki match 10 basi kocha awe ameshakuja ili aangalie wachezaji anaowataka hata kama wataingia hasara aje akae mwaka mzima ili kwanza asome wachezaji wote wa kitanzania na uchezaji wao huku akifuatilia kwa karibu soka la nchi zingine. kingine fungu la usajili apewe yeye na yeye ndiye ataamua mchezaji wa kumsajili hata kama atasema fukuza 10 leta 10 msikilizeni halafu mtakuja kuniambia
 
Hata ufanyaje bongo grains za Simba na yanga haziishi hata uwalete watu wa nje ,tff inaziogopa Simba na yanga ,ni rahisi tff kuwakata point timu zingine kama Azam lakini si kwa simba na yanga,mwisho wa siku timu kubwa zinabaki zile zile mbili
 
Hata ufanyaje bongo grains za Simba na yanga haziishi hata uwalete watu wa nje ,tff inaziogopa Simba na yanga ,ni rahisi tff kuwakata point timu zingine kama Azam lakini si kwa simba na yanga,mwisho wa siku timu kubwa zinabaki zile zile mbili
Huu ni upumbavu wanaofanya Tff kama vipi timu zingine zifutwe zibaki hizo mbili wanazozisujudia.
 
Uza wachezaji wote halafu kanunue wa TP Mazembe.
Simple tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Hawana uwezo huo, japo wakitaka wanaweza.
Mazembe almost kila mchezaji mkataba wake ni 5 years
 
Kitu kingine kikubwa kinacho push timu kufanikiwa ni fanbase kubwa

Azam hata wakifungwa hakuna presha wala hasira kutoka kwa mashabiki.

Ningeshauri timu zote ligi kuu na madaraja ya chini kuanzisha matawi na mifumo ya wanachama, hiyo ndio njia rahisi zaidi ya kutengeneza local fanbase.
 
Iache kuingilia ushabiki wa Simba na mwenzake Yanga baasi. Iajiri mtu kama senzo (neutral) asiyekuwa na upande kati ya Simba na Yanga
 
Uza wachezaji wote halafu kanunue wa TP Mazembe.
Simple tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Jina linawaangusha....inatakiwa wabadili jina.....au wabadilishane majina na Yanga au Simba...Yaani wachezaji walewale lakini timu iitwe Yanga au Simba utashangaa inaweza ikachukua ubingwa wa Ligi kuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…