Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha HAMAS au?Kila nchi hapa duniani kuna madhabahu na mungu wa hiyo madhabahu. Kila jamii ina ibada na kuna maagizo yakufuata.
Wale ambao wanampigania mungu wao na kupigwa inakuwa na tafsiri gani? Yule mungu kashindwa?
Hakuna Mungu.Kila nchi hapa duniani kuna madhabahu na mungu wa hiyo madhabahu. Kila jamii ina ibada na kuna maagizo yakufuata.
Wale ambao wanampigania mungu wao na kupigwa inakuwa na tafsiri gani? Yule mungu kashindwa?
NDIYOKila nchi hapa duniani kuna madhabahu na mungu wa hiyo madhabahu. Kila jamii ina ibada na kuna maagizo yakufuata.
Wale ambao wanampigania mungu wao na kupigwa inakuwa na tafsiri gani? Yule mungu kashindwa?
AiseeeMungu kiziwi hasikii lolote, ukiwakuta ktk ibada zao sasa wanavyomkuza huyo Mungu wao mbona utashangaa sana.
The same way kwa yule Mungu wa walokole huyu anamasikio sugu yasiyosikia lolote, yaani tangu waanze kumuabudu na kumuomba hakuna jambo amewai kulifanya wala kulitimiza.
Umasikini unazidi, magonjwa, njaa, vita na matukio ya kutisha ambayo hawa wafuasi wa Mungu wanatuaminisha kuwa ktk ibada zao wakimpinga shetan na kumuangamiza maajabu ni kuwa huyo shetan anaonesha Ushindi mkubwa dhidi ya huyo Mungu wanaemuomba kila siku za ibada na mikesha mbalimbali, huku wakimtolea na sadaka+mafungu ya 10.
Mungu wa hizi dini hana Nguvu kama mlivyoaminishwa,badala yake anakuzwa tu kupitia propaganda za wachungaji na mashekhe,yaani hata mchawi hapo kijijini kwenu akiwa siriaz na kilinge chake anaweza kumtetemesha Mungu wa dini huko mbinguni pamoja na jeshi lake la waumini hapa dunian wakapata mapigo ya matatizo mpaka walie kwa kufunga na kuomba lkn Mungu yupo kimya[emoji28][emoji28].
Amkeni jamani mnapigwa, masuala ya kiroho hayapo kama mnavyoaminishwa
Ama kawapuuza au kawaadhibu!!Kila nchi hapa duniani kuna madhabahu na mungu wa hiyo madhabahu. Kila jamii ina ibada na kuna maagizo yakufuata.
Wale ambao wanampigania mungu wao na kupigwa inakuwa na tafsiri gani? Yule mungu kashindwa?
Dini zote ni usanii mtupuKila nchi hapa duniani kuna madhabahu na mungu wa hiyo madhabahu. Kila jamii ina ibada na kuna maagizo yakufuata.
Wale ambao wanampigania mungu wao na kupigwa inakuwa na tafsiri gani? Yule mungu kashindwa?
Hata wazembe km Hamas?Wanaompigania mungu wao huwa wanajitoa muhanga maana kwao kufa ni ushujaa pia
Mkuu ww Ni atheist au Ni mtu uliyekengeuka.Hakuna Mungu.
Hadithi za Mungu kuwapo ni siasa za watu tu.
Sasa Faizafoxy atapewa marijali 72 au itakuwaje.
Mtazamo uliojaa upumbavu mwingi.Mungu kiziwi hasikii lolote, ukiwakuta ktk ibada zao sasa wanavyomkuza huyo Mungu wao mbona utashangaa sana.
The same way kwa yule Mungu wa walokole huyu anamasikio sugu yasiyosikia lolote, yaani tangu waanze kumuabudu na kumuomba hakuna jambo amewai kulifanya wala kulitimiza.
Umasikini unazidi, magonjwa, njaa, vita na matukio ya kutisha ambayo hawa wafuasi wa Mungu wanatuaminisha kuwa ktk ibada zao wakimpinga shetan na kumuangamiza maajabu ni kuwa huyo shetan anaonesha Ushindi mkubwa dhidi ya huyo Mungu wanaemuomba kila siku za ibada na mikesha mbalimbali, huku wakimtolea na sadaka+mafungu ya 10.
Mungu wa hizi dini hana Nguvu kama mlivyoaminishwa,badala yake anakuzwa tu kupitia propaganda za wachungaji na mashekhe,yaani hata mchawi hapo kijijini kwenu akiwa siriaz na kilinge chake anaweza kumtetemesha Mungu wa dini huko mbinguni pamoja na jeshi lake la waumini hapa dunian wakapata mapigo ya matatizo mpaka walie kwa kufunga na kuomba lkn Mungu yupo kimya[emoji28][emoji28].
Amkeni jamani mnapigwa, masuala ya kiroho hayapo kama mnavyoaminishwa
Kiburi cha uzimaHakuna Mungu.
Hadithi za Mungu kuwapo ni siasa za watu tu.
Kila nchi hapa duniani kuna madhabahu na mungu wa hiyo madhabahu. Kila jamii ina ibada na kuna maagizo yakufuata.
Wale ambao wanampigania mungu wao na kupigwa inakuwa na tafsiri gani? Yule mungu kashindwa?