Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Enzi zetu tulikuwa tunakosea zaidi yenu.
Enzi zetu teknolojia haikua njema kama leo.
Enzi zetu tulijiachia kwa mengi zaidi ya leo.
Inawezekana miaka yetu tulikosea pakubwa zaidi ya makosa yenu leo.
Na zamani tulikuwa na ukaribu zaidi hapa jamvini lakini tulitunza siri zetu...-😊
Enzi zetu teknolojia haikua njema kama leo.
Enzi zetu tulijiachia kwa mengi zaidi ya leo.
Inawezekana miaka yetu tulikosea pakubwa zaidi ya makosa yenu leo.
Na zamani tulikuwa na ukaribu zaidi hapa jamvini lakini tulitunza siri zetu...-😊