Ukisafiri kwa V8 au hata kwa basi huku unasikiliza nyimbo za CCM, safari inakua nyepesi sana isiyo na uchovu wala usumbufu bali inakua safari salama

Ukisafiri kwa V8 au hata kwa basi huku unasikiliza nyimbo za CCM, safari inakua nyepesi sana isiyo na uchovu wala usumbufu bali inakua safari salama

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Nyimbo nyingi za CCM zinasisimua sana, zinaondoa uchovu na msongo wa mawazo ukiziskiliza vizuri, na kwakweli ukiziskiliza kwa makini unapata pumzi yenye matumaini na mwangaza mpya kabisa wa kusonga mbele ikiwa umekata tamaa.

Mathalani unapigwa ule wimbo wa waacheni waandamane na ujinga wao, ccm mbele kwa mbele, vijana ni wale wale, tumejipanga mwaka huu wataisoma.

Au ukapigwa ule wimbo wenye maneno, "kazi zinazofanywa na chama big up big up CCM, bila chama cha mapinduzi nchi yetu ingekua wapi, bila chama cha mapinduzi uhuru wetu ungetoka wapi"

Au uweke ule wimbo wa sasa kumekucha jogoo limekwisha wika Dodoma, aise safari inakua fupi, isiyochosha na salama zaidi kwa Neema na Baraka za Mungu.

Furahia nyimbo nzuri sana za kizalendo za CCM, zilizobeba ujumbe mzito mzito na muhimu sana wa hamasa, matumaini, burudani na ujasiri kwa wananchi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

ndugu mdau, huwa unafurahi kwa kiasi gani zinapopigwa nyimbo bora kabisa za CCM?

Na unadhani ni kwanini waTanzania wote wanazipenda na kuhamasika sana na nyimbo nzuri sana za CCM?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
IMG_20250223_062545.jpg
 
Vijana tujitafakari, kama wewe unanufaika na huu mfumo basi usiwe sehemu ya kuwadharau wengine.
Vitamin music,
inaondoa uchovu na msongo wa mawazo,
na hayo ni baadhi ya manufaa ya nyimbo nzuri.

Gentleman,
ni kweli hunufaiki kisaikojia na nyimbo nzuri sana za hamasa za CCM au unazuga wadau tu humu jukwaani?🐒
 
Yani yakitokea machafuko tutaanza na nyie M23 wa CCM. Ni kuwafyekelea mbali.
Gentleman,
tafadhali sana. Hakuna m23 Tanzania.

Just imagine,
ngoma kama ile ya wajumbe tushikamane tushike dollar, unaichukiaje na nyimbo inahamasisha Umoja kwa mfano?🐒
 
Dogo umelala unaota? Kwa taarifa yako kabla hayajatokea hayo machufuko wewe ndio utashughulikiwa wa kwanza. Unafikiri ukiwa JF na jina bandia umejificha sana eti
Hahahaha watashughulikiwa na Mungu ninayemuamini kabla hata ya kunifikia. Unafikiri tunaishi kwa kutegemea ulinzi wa bastola kama mnavyoishi ninyi?
 
Back
Top Bottom