kwa nyimbo za ccm huwez kua na uchovu hata kidogo, na sio v8 tu hata kwa basi tu kwa mfano kidia one au Ester, huwez choka gentlemanDuh unasafiri na v8 alafu unapita barabara ya vumbi na mashimo
Ukifika bado lazima uchoke ๐
Ova
shukran sana gentleman,Kabisa aiseee... Tunawashukuru wananchi wameona ni Bingwa of Comedy. Hongera zake kwa kweli.
Unakimbia Swali!nadhani kila mwananchi ni shuhuda kwamba, hakuna malalamiko kuhusu nishati hiyo tena. hiyo ni kuonyesha kwamba serikali sikivu ya ccm, imedhamiria kutatua changamoto hiyo kabisa,
mipango mikakati ya kuiboresha na kuifanya toshelevu, nafuu na ya uhakika inaendelea kutekelezwa vizuri sana kwa awamu katika maeneo mbalimbali nchini,
sikiliza nyimbo za hamasa za ccm weekend hii kwa mapumziko tulivu na mwanana gentleman
Kila moja ana uhuru wakutoa maoni na kuheshimiwa ila kuna maoni mengine ni yakisenge sana โฆโฆ. Mwisho wa kunukuuNyimbo nyingi za CCM zinasisimua sana, zinaondoa uchovu na msongo wa mawazo ukiziskiliza vizuri, na kwakweli ukiziskiliza kwa makini unapata pumzi yenye matumaini na mwangaza mpya kabisa wa kusonga mbele ikiwa umekata tamaa.
Mathalani unapigwa ule wimbo wa waacheni waandamane na ujinga wao, ccm mbele kwa mbele, vijana ni wale wale, tumejipanga mwaka huu wataisoma.
Au ukapigwa ule wimbo wenye maneno, "kazi zinazofanywa na chama big up big up CCM, bila chama cha mapinduzi nchi yetu ingekua wapi, bila chama cha mapinduzi uhuru wetu ungetoka wapi"
Au uweke ule wimbo wa sasa kumekucha jogoo limekwisha wika Dodoma, aise safari inakua fupi, isiyochosha na salama zaidi kwa Neema na Baraka za Mungu.
Furahia nyimbo nzuri sana za kizalendo za CCM, zilizobeba ujumbe mzito mzito na muhimu sana wa hamasa, matumaini, burudani na ujasiri kwa wananchi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
ndugu mdau, huwa unafurahi kwa kiasi gani zinapopigwa nyimbo bora kabisa za CCM?
Na unadhani ni kwanini waTanzania wote wanazipenda na kuhamasika sana na nyimbo nzuri sana za CCM?๐
Mungu Ibariki Tanzania
uchaguzi hata ukiweka Nazi Mbata na serikali ikaamua kushinda nazi inashinda. Mi nadhani angeanza na kugombea kwanza ndani ya chama si kujipitisha sababu ya comedy na anasema anadharaulika. sasa hawa madogo ndo wamekuja mtusi kabisa. naye kwa kuwa hafikirii anashukuru kuitwa Bingwa wa Comedy. ๐shukran sana gentleman,
na kwenye uchaguzi mkuu wa Oct mwaka 2025 anakwenda kua champion pia, sawa?
na ukamwambie na mwenyekiti wa chama chako kuhusu hilo, right?๐
Gentleman,uchaguzi hata ukiweka Nazi Mbata na serikali ikaamua kushinda nazi inashinda. Mi nadhani angeanza na kugombea kwanza ndani ya chama si kujipitisha sababu ya comedy na anasema anadharaulika. sasa hawa madogo ndo wamekuja mtusi kabisa. naye kwa kuwa hafikirii anashukuru kuitwa Bingwa wa Comedy. ๐
Duhkwa nyimbo za ccm huwez kua na uchovu hata kidogo, na sio v8 tu hata kwa basi tu kwa mfano kidia one au Ester, huwez choka gentleman
wamemkejeli CHAMPION OF COMEDY -Gentleman,
ni wananchi wote wa Tanzania ndio wanamfanya Dr.Samia Suluhu Hassan kua champion wa uchaguzi mkuu wa amani Tanzania.
Inafahamika wazi Tanzania,
Africa na duniani kote kwamba Dr Samia Suluhu Hassan ndio kiongozi champion wa wa amani na maridhiano, utalii, mazingira, miundombinu, afya, elimu n.k Africa na duniani kote,
mengine ni porojo tu na story za pata potea ๐
Inakuwa mbaya,yenye kuboa na ndefu saana.Nyimbo nyingi za CCM zinasisimua sana, zinaondoa uchovu na msongo wa mawazo ukiziskiliza vizuri, na kwakweli ukiziskiliza kwa makini unapata pumzi yenye matumaini na mwangaza mpya kabisa wa kusonga mbele ikiwa umekata tamaa.
Mathalani unapigwa ule wimbo wa waacheni waandamane na ujinga wao, ccm mbele kwa mbele, vijana ni wale wale, tumejipanga mwaka huu wataisoma.
Au ukapigwa ule wimbo wenye maneno, "kazi zinazofanywa na chama big up big up CCM, bila chama cha mapinduzi nchi yetu ingekua wapi, bila chama cha mapinduzi uhuru wetu ungetoka wapi"
Au uweke ule wimbo wa sasa kumekucha jogoo limekwisha wika Dodoma, aise safari inakua fupi, isiyochosha na salama zaidi kwa Neema na Baraka za Mungu.
Furahia nyimbo nzuri sana za kizalendo za CCM, zilizobeba ujumbe mzito mzito na muhimu sana wa hamasa, matumaini, burudani na ujasiri kwa wananchi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
ndugu mdau, huwa unafurahi kwa kiasi gani zinapopigwa nyimbo bora kabisa za CCM?
Na unadhani ni kwanini waTanzania wote wanazipenda na kuhamasika sana na nyimbo nzuri sana za CCM?๐
Mungu Ibariki Tanzania
Kipato huleta kiburi !Duh! Usalama wa safari unatokana na nyimbo, tena za kidunia?!?! Aisee..........!
๐ฎ๐ฎ๐ฎNdio hoja uliyoona inafaa wewe kuandika. PUMBAVU!
huo ni mwanzo tu gentleman,wamemkejeli CHAMPION OF COMEDY -
professional entertainment consisting of jokes and sketches, intended to make an audience laugh.
"a cabaret with music, dancing, and comedy"