Wewe ndio unafikiria kinyume chake , maana huna hoja za kusikilizwa,kweli mtu na akili zake akae kwenye Hilo dude asikilizwe,tuwachanechane tuwatupe,harambee,Harambe mama,harambee!Watu hamtabadilika hadi kupatwa kwa jua!
Astagafirulaah laana tulah! π¬π¬ Hzo nyimbo ukisikiliza unaweza Piga Mzinga mkali sana tukusahau nyimbo za CCM zimejaa UDHALIMU,WIZI, UFISAFI, DHULUMA,GILBA,VIJEMBE,UNAFIKI na UKANDAMIZAJI wa hali ya Juu
Utasikia "Wacha Waisome nambaaa hee!!
π€£ kumbafu sana dah!,
kumbe vijana mko vizuri sana kwenye magoma ya CCM halafu mnakuja hapa kumbwelambwela kwa wadau ati ng'we ng'we ng'we vijembe π€£